Swali zuri Sana je akitambulishwa msanii tofauti na zuchuWewe umejuaje kama anatambulishwa zuchu mbona kuna msanii mwingine pale anaitwa hanstone pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Zuchu nna uhakika kabisaa, sina hakika sana kama watatambulishwa wawili kwa mpigo yeye na Hans.We umejuaje huyo msanii watakaomtambulisha WCB Ni zuchu? Maana WCB hawajasema Ni msanii gani
Hatimaye zamu ya Zuchu imewadia.
Mtoto wa Khadija Kopa rasmi sasa kutambulishwa Wasafi.
Amekaa benchi kwa miaka karibu mitano.
Ukubwa wa kipaji chake ni Jide+Nandy+Vanessa Mdee.
Tanzania inaenda kupata malkia mpya wa bongofleva.
Hongera Wasafi hongera Tanzania.
Iyo Jide namba nyingine iweke pembeni kwenye magazijuto.Hatimaye zamu ya Zuchu imewadia.
Mtoto wa Khadija Kopa rasmi sasa kutambulishwa Wasafi.
Amekaa benchi kwa miaka karibu mitano.
Ukubwa wa kipaji chake ni Jide+Nandy+Vanessa Mdee.
Tanzania inaenda kupata malkia mpya wa bongofleva.
Hongera Wasafi hongera Tanzania.
Kichwa Cha habari ulitakiwa uandike msanii gani atatambulishwa Wasafi kesho lakini si kujihakikishia kwa kusema ni zuchu unaweza kukuta asiwe zuchu Wala Hans akawa tofauti na hapo au akawa ni HansZuchu nna uhakika kabisaa, sina hakika sana kama watatambulishwa wawili kwa mpigo yeye na Hans.
Account sio hii kwel@OfficialZuchu account yake official haina followers hata 5K.
Kesho ndo utaanza kuona mafuriko ya followers
Nasma khamisi kadogoo alimnanga mama mtu kuwa ni sanamu ya micheliniPicha izingatie ile ' Angle ' adhimu..
Acha upumbavu et ukubwa ...hv hz akili za Corona mnazitoaga wap .kufanya comparisons mapema hvo ....ebu ficha ujinga wakoHatimaye zamu ya Zuchu imewadia.
Mtoto wa Khadija Kopa rasmi sasa kutambulishwa Wasafi.
Amekaa benchi kwa miaka karibu mitano.
Ukubwa wa kipaji chake ni Jide+Nandy+Vanessa Mdee.
Tanzania inaenda kupata malkia mpya wa bongofleva.
Hongera Wasafi hongera Tanzania.
Kaka anzisha thread yako iwe unavyotaka wewe. Mimi nimeandika kwa mujibu wa taarifa nilizonazo.Kichwa Cha habari ulitakiwa uandike msanii gani atatambulishwa Wasafi kesho lakini si kujihakikishia kwa kusema ni zuchu unaweza kukuta asiwe zuchu Wala Hans akawa tofauti na hapo au akawa ni Hans
Ukaguzi muhimu,unaweza kuta shape kma maza wakePicha izingatie ile ' Angle ' adhimu..
WCB wanakuza vipaji Rayvanny, Harmo na lavalava wamechukuliwa ikiwa watanzania wengi hawawajui na hawafahamiki.Wamchukue Marioo
Waachane na magarasa
Na Rich Mavoko nae alichukuliwa kukuzwa kipaji ?WCB wanakuza vipaji Rayvanny, Harmo na lavalava wamechukuliwa ikiwa watanzania wengi hawawajui na hawafahamiki.
Hoja yako umesema wachukue jina kubwa ndomaana nikakuambia Wasafi wanaweza kuchukua msanii hafamiki imradi tu awe na kipaji na akawa maarufu zaidi.Na Rich Mavoko nae alichukuliwa kukuzwa kipaji ?
Unatetea mambo kijinga kama kuku aliyekata kichwa
Kaka anzisha thread yako iwe unavyotaka wewe. Mimi nimeandika kwa mujibu wa taarifa nilizonazo.
Jide+Nandy+Vannesa.Hatimaye zamu ya Zuchu imewadia.
Mtoto wa Khadija Kopa rasmi sasa kutambulishwa Wasafi.
Amekaa benchi kwa miaka karibu mitano.
Ukubwa wa kipaji chake ni Jide+Nandy+Vanessa Mdee.
Tanzania inaenda kupata malkia mpya wa bongofleva.
Hongera Wasafi hongera Tanzania.
Huyo Zuchu ni fundi balaa..ana upekee flani hivi Nandy,na Ruby wajipange sana..maana zuchu ni shida yule mtoto wa kike. Ukijumlisha na promo ya wasafi .huyo mtoto atasumbua sana.
Labda mategemeo yaje kivingine
Upo sahihi..ila kasikilize baadhi ya kazi za huyu zuchu...utakubali shughuli yakeRuby akiacha attitude za kidiva na kuropoka.. bongo hii hakuna wa kumgusa