Zuchu kutambulishwa rasmi WCB Wasafi

Nyimbo hata moja hajatoa unaanza mikogo na majivuno kwa waliomtangulia tena ambao tayari wameshaacha alama..Kuwa na heshima
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iyo Jide namba nyingine iweke pembeni kwenye magazijuto.
 
Zuchu nna uhakika kabisaa, sina hakika sana kama watatambulishwa wawili kwa mpigo yeye na Hans.
Kichwa Cha habari ulitakiwa uandike msanii gani atatambulishwa Wasafi kesho lakini si kujihakikishia kwa kusema ni zuchu unaweza kukuta asiwe zuchu Wala Hans akawa tofauti na hapo au akawa ni Hans
 
Acha upumbavu et ukubwa ...hv hz akili za Corona mnazitoaga wap .kufanya comparisons mapema hvo ....ebu ficha ujinga wako

One love
 
Huyo Zuchu ni fundi balaa..ana upekee flani hivi Nandy,na Ruby wajipange sana..maana zuchu ni shida yule mtoto wa kike. Ukijumlisha na promo ya wasafi .huyo mtoto atasumbua sana.
Labda mategemeo yaje kivingine
 
Kichwa Cha habari ulitakiwa uandike msanii gani atatambulishwa Wasafi kesho lakini si kujihakikishia kwa kusema ni zuchu unaweza kukuta asiwe zuchu Wala Hans akawa tofauti na hapo au akawa ni Hans
Kaka anzisha thread yako iwe unavyotaka wewe. Mimi nimeandika kwa mujibu wa taarifa nilizonazo.
 
Na Rich Mavoko nae alichukuliwa kukuzwa kipaji ?

Unatetea mambo kijinga kama kuku aliyekata kichwa
Hoja yako umesema wachukue jina kubwa ndomaana nikakuambia Wasafi wanaweza kuchukua msanii hafamiki imradi tu awe na kipaji na akawa maarufu zaidi.
 
Jide+Nandy+Vannesa.

Mahaba ni mabaya sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo Zuchu ni fundi balaa..ana upekee flani hivi Nandy,na Ruby wajipange sana..maana zuchu ni shida yule mtoto wa kike. Ukijumlisha na promo ya wasafi .huyo mtoto atasumbua sana.
Labda mategemeo yaje kivingine


Ruby akiacha attitude za kidiva na kuropoka.. bongo hii hakuna wa kumgusa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…