Zuchu ndio msanii pekee wa kike anaeweza kusimamisha jiji la Dsm na likasimama

Zuchu ndio msanii pekee wa kike anaeweza kusimamisha jiji la Dsm na likasimama

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
Zuchu ndio msanii namba moja kwa sasa East and Central Africa. Lakini hii sio point yangu kwa leo.

Zuchu ndio msanii wa kike anaeweza kusimamisha jiji la Dar es Salaam na likatii amri kwa kifupi hana mpinzani.

Nyota yake inazidi kuwa kali kila kukikucha.

Katoa album kali sana sijui mara ya mwisho msanii wa kike kutoa album iliyopokelewa kwa ukubwa huu ni lini yani album mpaka watoto wanaimba mstari baada ya mstari wimbo baada ya wimbo.

Jana lile balaa alilofanya sinza sijui ni nani anaweza kubali kuchezea moto wa Zuchu.

Zuchu ni mkubwa saaaana tumuache atambe

 
Ni Yule aliyetupiwa chupa za maji Mbeya au ameibuka mwingine halafu hatujui?
Huyo huyo uku mjini watu wanaenda kwenye starehe kufurahia sio kuonesha stress zao za maisha. Uku mjini hakuna unyani watu wanainjoi maisha
 
Wanyakyusa lazima wabishe, sijui wakoje hawa watu!!! Mi nafikiri wanyakyusa ni Waha waliochangamka.
 
Ni kweli kwenye ile video yake ya antena naona anamtukuza Lucifer wazi wazi anafaa kabisa kuisimamisha dar es Salam.
 
Ni kweli kwenye ile video yake ya antena naona anamtukuza Lucifer wazi wazi anafaa kabisa kuisimamisha dar es Salam.
Hivi wewe dogo utajielewaga lini bado unaamini vitu vya ajabu ajabu
 
Nimeishi duniani kwa miongo zaidi ya mitatu sasa. Lakini leo ndio nimefahamu kwamba jiji la daslam lina miguu na linaweza kusimama kabisa
 
Back
Top Bottom