Amos David Mathias
JF-Expert Member
- Sep 3, 2022
- 1,576
- 3,094
Kumbuka huyu alikataa kufanya tangazo la pombe kisa ye Muslim pombe kwake haramu.Wewe vaa za staha, yeye muache avae nguo anazotaka yeye.
Wewe ukivaa za staha inatosha.
Usitake watu waishi wewe unavyotaka, wapangie maisha unaowalisha na kuwavisha. Mtu humlishi, humvishi na huna msaada wowote kwake halafu unataka umpangie avae nini, avaeje.
Huo uislamu wewe unaweza kuufanya ama kuutekeleza yeye muache atekeleze anavyoona inamfaa. Kwani amekwambia anataka kwenda mbinguni?
Dini inaruhusu uchague dhambi ya kufanya na ambayo sio ya kufanya so bado yuko sahihi kuchagua kutotangaza pombe ila bado akachagua kupigwa miti na kuliwa utamu. Bado hakuna alichokosea kwa mtazamo wa kidini na kisheria za nchi.Kumbuka huyu alikataa kufanya tangazo la pombe kisa ye Muslim pombe kwake haramu.
Ila hicho alichokivaa ni kitu gani?
Papuchi za celebrity hazna miujizaNasikitika Sana kukuona Dada yangu mziki unavyokupoteza mpaka unavaa nguo zisizo na staha.Mbaya zaidi wewe ni muislamu na waislamu wenzako wanavaa Kwa staha.Am so Disappointed [emoji20][emoji20].Why why why unateseka kujificha ficha na hako kapochi mwangalie Diamond alivyovaa vizuri very comfortable.View attachment 2483912View attachment 2483913
Kitumbua nje-njeHalafu mzanzibar kama Huyu ni Bidaha na ni mtihani mkubwa..
Shame on she
Kila mtu achague dhambi yake.Kumbuka huyu alikataa kufanya tangazo la pombe kisa ye Muslim pombe kwake haramu.
Ila hicho alichokivaa ni kitu gani?
Haha aiseeDini inaruhusu uchague dhambi ya kufanya na ambayo sio ya kufanya so bado yuko sahihi kuchagua kutotangaza pombe ila bado akachagua kupigwa miti na kuliwa utamu. Bado hakuna alichokosea kwa mtazamo wa kidini na kisheria za nchi.
Ni msanii wa nyimbo za kidunia na umri wake unamruhusu...Nasikitika Sana kukuona Dada yangu mziki unavyokupoteza mpaka unavaa nguo zisizo na staha.Mbaya zaidi wewe ni muislamu na waislamu wenzako wanavaa Kwa staha.Am so Disappointed [emoji20][emoji20].Why why why unateseka kujificha ficha na hako kapochi mwangalie Diamond alivyovaa vizuri very comfortable.View attachment 2483912View attachment 2483913
Kitimoto ni haramu kuliko pombe au sigara 😅Kumbuka huyu alikataa kufanya tangazo la pombe kisa ye Muslim pombe kwake haramu.
Ila hicho alichokivaa ni kitu gani?