MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Wataenda tu.Haka kanashinda kanajegejwa na bwana jeje leo kanajenga msikiti
Nani akaswali?
Msikoti ni kitu gani mkuu?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aiseee pesa za muziki kumbe zinaruhusa ya kujenga msikoti
Haha noma sana, ma-imam wako kimaslahi tuBadala ya kujenga shule au hospital anajenga msikiti ambao atapigwa madongo hatoamini na huo msikiti watakaoenda ni wanafiki, watu wanaojua maudhui ya Islam na namna hiyo pesa imepatikana watalaani hadi basi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pesa za dhambi.Haka kanashinda kanajegejwa na bwana jeje leo kanajenga msikiti
Nani akaswali?
🤣🤣🤣🤣🤣 bado ka akili chako kadogo sana wala hujang'amua nilichoanfika.Kabomoe basi kama imejengwa na kafir na hata wa Kinondoni ni juhudi za mwendazake, nyie mna uwezo wa kunywa kahawa tu, hata chuo kikuu pale Tanesco Mkapa ndio alitoa na hatusikia habari za kafir na hata siku moja.Nyerere alimuomba Gaddafi awajengee msikiti, nyie endeleeeni tu kula lambalamba za Azam .
Usimpangie matumizi ya pesa zake, hizo maabara Jenga weweAjenge maabara shuleni watu wajifunze maarifa
Muziki ni ajira,Kwa hiyo binti anakatika, anaonyesha maungo yake ta siri, anauza nyapu na kupigwa miti, akivuna pesa anakwenda kujenga msikiti!
Laana kubwa hii.