Zuchu sio wa kawaida. Huu wimbo wake alioutoa juzi unaimbwa kila mahali

Zuchu sio wa kawaida. Huu wimbo wake alioutoa juzi unaimbwa kila mahali

Koffi Annan

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2018
Posts
1,771
Reaction score
5,087
Huu wimbo wake alioutoa juzi unaimbwa kila mahali, hata kama huupendi utajikuta tu unausikiliza kila unapoenda,

  • Ukiamka unaskia jirani anaupiga
  • Ukitoka nje unakutana nao kwenye maduka ya barabarani
  • Ukipita barabarani bodaboda wanao
  • Ukipanda daladala unapigwa
  • Ukipishana na watoto wadogo wanaimba
  • Ukiingia Instagram ni kelele tu za huo wimbo

Ila Diamond anamtengeneza huyu mtoto kuwa best versions kuliko alivyokua mwenyewe hivyo ana bahati sana.
 
Sawa zuchu tumekuelewa Ila Beat zuri idea ya wimbo ni nzuri Ila unaimba kwa makelele
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom