Mr Mitano Tena..naona nimekukuta kwenye sekta yako...umecommentMkuu hapo nakuongezea na 3 zingine ni hataree
Zuchu-Hakuna Kulala
2:Zuchu Ft Mboso-Ashua
3:Zuchu Raha...
Hutojutia mkuu...lakin kuna bonus nakupa uende nayo
Rayvanny ft Zuchu-Number One:
[emoji23][emoji23][emoji23]wamenigusa nakapenda mno ka"zuchu....Mr Mitano Tena..naona nimekukuta kwenye sekta yako...umecomment
Mkuu haka Kabinti Kanatupoza Na Hii MITANO Tuliojitakia[emoji23]Katibu mwandamizi wa Kamati ya wanaume wa mkoani kanda ya Kaskazini natangaza kua leo saa 10 tunakikao juu ya wanaume wenzetu wanaosikiliza nyimbo za Zuchu....
😭😭😭😭😭😭Katibu mwandamizi wa Kamati ya wanaume wa mkoani kanda ya Kaskazini natangaza kua leo saa 10 tunakikao juu ya wanaume wenzetu wanaosikiliza nyimbo za Zuchu....
Huwa siwezi kupinga kazi ya mtu hususan kama mimi binafsi siwezi ila huwa natoa point nyingi zaidi kwenye originality / Ubunifu kwahio neno kama fulani huwa linaleta ukakasi (does it mean ya fulani ni better)?Haka katoto mwanzoni nlikua nakchukulia POA Ila hii ngoma ya Sukari aisee Ni [emoji91] [emoji91], dzain kapita Kama maua Sama na iokote. Bravo
lamaa umekosea Sana kuweka #Raha na #Ashua no 2 na 3 kwangu hizo ngoma zinastahili ziwe no 1 nazikubali SanaMkuu hapo nakuongezea na 3 zingine ni hataree
Zuchu-Hakuna Kulala
2:Zuchu Ft Mboso-Ashua
3:Zuchu Raha...
Hutojutia mkuu...lakin kuna bonus nakupa uende nayo
Rayvanny ft Zuchu-Number One:
Kwenye jukwaa hapo mzee[emoji848].. I don't think so ila kuimba sawaSio kuondika tu...
Pia anaweza kutawala jukwaa vizuri,
[emoji196][emoji39]
Kwenye jukwaa hapo mzee[emoji848].. I don't think so ila kuimba sawa
Ah wapiKatoto cha mwaka 1990
KIKI zingine duh !!wanaume wenzangu samahanini leo nmeskiliza nyimbo ya zuchu
kama ni 90 basi ni kibibiKatoto cha mwaka 1990
[emoji3][emoji3]Katibu mwandamizi wa Kamati ya wanaume wa mkoani kanda ya Kaskazini natangaza kua leo saa 10 tunakikao juu ya wanaume wenzetu wanaosikiliza nyimbo za Zuchu....
Kama ni hivo ana 31Katoto cha mwaka 1990
Eti mna kikao kujadili wanaume wanaosikiliza nyimbo za Zuchu[emoji3]Unacheka nini [emoji2955]