Zuchu- Sukari....!!!

Mkuu hapo nakuongezea na 3 zingine ni hataree

Zuchu-Hakuna Kulala

2:Zuchu Ft Mboso-Ashua

3:Zuchu Raha...

Hutojutia mkuu...lakin kuna bonus nakupa uende nayo

Rayvanny ft Zuchu-Number One:
Mr Mitano Tena..naona nimekukuta kwenye sekta yako...umecomment
 
Haka katoto mwanzoni nlikua nakchukulia POA Ila hii ngoma ya Sukari aisee Ni [emoji91] [emoji91], dzain kapita Kama maua Sama na iokote. Bravo
Huwa siwezi kupinga kazi ya mtu hususan kama mimi binafsi siwezi ila huwa natoa point nyingi zaidi kwenye originality / Ubunifu kwahio neno kama fulani huwa linaleta ukakasi (does it mean ya fulani ni better)?
 
Kipaji chake kikubwa ni kwenye uandishi, Kwa kwel kabarkiwa Sana hapo...
 
Mkuu hapo nakuongezea na 3 zingine ni hataree

Zuchu-Hakuna Kulala

2:Zuchu Ft Mboso-Ashua

3:Zuchu Raha...

Hutojutia mkuu...lakin kuna bonus nakupa uende nayo

Rayvanny ft Zuchu-Number One:
lamaa umekosea Sana kuweka #Raha na #Ashua no 2 na 3 kwangu hizo ngoma zinastahili ziwe no 1 nazikubali Sana
 
Katibu mwandamizi wa Kamati ya wanaume wa mkoani kanda ya Kaskazini natangaza kua leo saa 10 tunakikao juu ya wanaume wenzetu wanaosikiliza nyimbo za Zuchu....
[emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…