hazole1 JF-Expert Member Joined Jan 3, 2015 Posts 4,319 Reaction score 3,916 Jan 31, 2018 #21 Zuckerberg angekubali kufanya nao kazi hao jamaa labda wasingegundua kitu kinacho itwa Whatsapp. ila kwa sababu ya kukataliwa kwao walifanya kazi kwa hasira usiku na mchana hadi wakagundua Whatsapp.
Zuckerberg angekubali kufanya nao kazi hao jamaa labda wasingegundua kitu kinacho itwa Whatsapp. ila kwa sababu ya kukataliwa kwao walifanya kazi kwa hasira usiku na mchana hadi wakagundua Whatsapp.