zumas family tree

hii kweli kali, huyo Gugu cjui nimemuona kwenye tamthilia gani jamani KBC.
 
Mmh! Zuma anatisha!

sidhani kama hata ana furaha maana nahisi kila siku anasikia maugomvi ya hao wake zake,na ana kazi ya ziada ya kufanya watoto wake wote wapendane pasi kubaguana.
 
sidhani kama hata ana furaha maana nahisi kila siku anasikia maugomvi ya hao wake zake,na ana kazi ya ziada ya kufanya watoto wake wote wapendane pasi kubaguana.

hata tukisema mila zao zinaruhusu but kwa dunia ya leo hizo mila zinatakiwa zivunjwe jamani, wanawake wote hao wa nini?
 
Safi sana mkulu Nzuma,
Namsifu huyu Zuma aliyeweza kuandaa hii family tree yake. Awali ya yote watoto wake wote wawe wa nje ya ndoa na wale wa ndoa anaweka public tu. Hii inasaidia sana jamii kutokuwa na doubt za hapa na pale kuhusu kiongozi wao. Hii style ingekuja hata hapa Tz ili viongozi wetu wakuu watupe ile family tree yao. Na kama wakioa baasi iwe wazi na si kupata taarifa kupitia radio mbao. Hii inasaidia sana ili kufahamu taifa lina majukumu gani kwa kutunza rais na dependants wake. Eti utasikia mara mtu kaoa, mara kao tena mara kazaa, mara vile. Ya nini yote hayo? Wekeni mambo hadharani. After all imani zenu zinawaruhusu.
 
hata tukisema mila zao zinaruhusu but kwa dunia ya leo hizo mila zinatakiwa zivunjwe jamani, wanawake wote hao wa nini?

ni kweli ila mie nawashangaa zaidi hao wanawake wanaokubali kuolewa naye,over my dead body,sitaruhusu kushare mume maishani bora niwe single forever.
 
ni kweli ila mie nawashangaa zaidi hao wanawake wanaokubali kuolewa naye,over my dead body,sitaruhusu kushare mume maishani bora niwe single forever.



halafu mzee kama huyo ana wake bado anaendelea kuwa na fiancee, galfrnd..wife no 5 haku deserve kabisa kuolewa na huyu mzee ndio mana wana cheat.
 
ni kweli ila mie nawashangaa zaidi hao wanawake wanaokubali kuolewa naye,over my dead body,sitaruhusu kushare mume maishani bora niwe single forever.

Huyu akija kwenye chama chetu tunampa nafasi ya CHAIRMAN OF BOARD OF DIRECTORS
 
ni kweli ila mie nawashangaa zaidi hao wanawake wanaokubali kuolewa naye,over my dead body,sitaruhusu kushare mume maishani bora niwe single forever.

Cheusi nakuhaidi over my dead body sitaoa mke wa pili it will be only you and i really mean yaani only you mpaka hapo kifo kitakapotutenganisha
 
Dah huyo Gugu ngoja nifanye logistics za kupata contacts zake anafaa sana
 
Cheusi nakuhaidi over my dead body sitaoa mke wa pili it will be only you and i really mean yaani only you mpaka hapo kifo kitakapotutenganisha

hamna shida,Rev masa yuko wapi atufungishe ndoa.
nami nitakua muaminifu kwako hadi kifo kitutenganisha coz najua kitatutenganisha baada ya miezi sita na ww ndo utatangulia lkn ucjali nitaendeleza vizuri mali zako zote nitakazorithi
 
sidhani kama hata ana furaha maana nahisi kila siku anasikia maugomvi ya hao wake zake,na ana kazi ya ziada ya kufanya watoto wake wote wapendane pasi kubaguana.
Cheusi hao watoto hawawezi kupendana labda upendo wa kugundisha na gundi,tusishangae tukasikia tena anatangaza harusi na bado infidelity kama kawa!!!He needs grace
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…