The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
tena hata usiruhusu hayo mawazo yakunyemelee maana nitalikata na kuliroast kisha tutalitafuta wote coz lina belong to 2 of us.
Nyamayao bwana!!Unauliza wanini??kuosha rungu kwa nafasi huyo kapanda apolo au aero space unaita kiburudisho cha pili!!mwulize Finest anamajibu yako yote!
FL1 mtoto wako kwenye hiyo avatar si ameishakua mkubwa ananifaa nataka nifanye logistics mapema
hahahah miaka mitatu bana hebu subiri aendelea kukua ....
Cheusi naona sasa unashusha heshima yangu yaani unataka kuroast jembe langu:angry::angry::angry::mad2::mad2::mad2:
samahani dear,nilijikuta nikiandika hayo sbb hasira kali zininijia ulipotaja swala la kuoa mke wa pili.
Hii kali,sijaona picha ya mtoto wake wa kiume?Una agenda gani kutuwekea hawa mabinti tu.
umeongea kweli kabisa
Sasa mie nataka nikuoe uwe Cheusimangala uwe no.1, GS awe no.2, Nyamayao awe no.3, FirstLady1 akamate no. 4 halafu outdoors a.k.a (girl friend) ata_play Maria Roza naSmiles. Ili ku-complete the need full tayari nina mtoto mmoja wa nje named Boflo. What a family
Nauliza mtapigaaaana? au mta show lov!
Ha ha haaa! Mimi nawashangaa sana, Jacob Zuma ana-practice ile maana halisi ya jina lake.. see here
J=Just
A=Another
C=Creator
O=Of
B=Babies_with
Z=Zero
U=Understanding_of
M=Marriege_and
A=AIDS
.........Ha ha haaaa! wadau mpo hapo....!!