Pre GE2025 Zungu amfokea Mbunge wa Covid 19 Esther Matiko "Ukinizingua ntakuzingua, behave yourself. Kaa chini, kaa kimya"

Pre GE2025 Zungu amfokea Mbunge wa Covid 19 Esther Matiko "Ukinizingua ntakuzingua, behave yourself. Kaa chini, kaa kimya"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,


Naibu spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu leo bungeni amemtaka Mbunge wa Viti Maalum, Esther Matiko kufuata taratibu za bunge ikiwa ana tatizo lolote na yeye baada ya tofauti kutokea kati yao wakati bunge likiendelea.

Pia soma: Pre GE2025 - Uzi Maalum wa Kauli tata na za kushangaza kutoka kwa Viongozi na Wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kupata matukio na taarifa katika kila mkoa kuelekea uchaguzi mkuu ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
 
Wakuu,


Naibu spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu leo bungeni amemtaka Mbunge wa Viti Maalum, Esther Matiko kufuata taratibu za bunge ikiwa ana tatizo lolote na yeye baada ya tofauti kutokea kati yao wakati bunge likiendelea.

Pia soma: Pre GE2025 - Uzi Maalum wa Kauli tata na za kushangaza kutoka kwa Viongozi na Wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kupata matukio na taarifa katika kila mkoa kuelekea uchaguzi mkuu ingia hapa:
Ni maelekezo ya namana ya kiburi cha madaraka
 
Bunge la kisanii kweli
Nchi nyingine spika useme hivyo
Kwanza utarushiwa makabrashaa

Ova
 
Back
Top Bottom