Zungu anasema wiki ijayo Bunge litapitisha Universal Health Care

Zungu anasema wiki ijayo Bunge litapitisha Universal Health Care

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Naibu Spika alikuwa anaongea katika mkutano wa CCM leo Upanga.

Anasema Bima ya Afya kwa wote kwanza italenga kuwasaidia wale ambao ni vulnerable.

Ulikuwa mkutano ambao ulihudhuriwa pia na Zuberi Mtenvu,Mwenyekiti wa CCM Far.
 
Naibu Spika alikuwa anaongea katika mkutano wa CCM leo Upanga.
Anasema Bima ya Afya kwa wote kwanza italenga kuwasaidia wale ambao ni vulnerable.
Ulikuwa mkutano ambao ulihudhuriwa pia na Zuberi Mtenvu,Mwenyekiti wa CCM Far.
Kabisa tena faster sana

USSR
 
Hili swala lingefanywa Kama Sera kisha limalizike Kama sheria
 
Back
Top Bottom