Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (ZURA) imetangaza Bei mpya za Mafuta zitakazoanza kutumika rasmi kuanzia Jumatano Tarehe 09/03/2022
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulioko Kagera na Kugoma tutatembea kwa miguuMakamba na ewura yake wanaandaa mkeka.....muda sio mrefu kigoma na kagera petroli itasoma tsh.3901/litre
Jana tuu mkuu wa nchi anasema vitu vimepanda bei kwa sababu ya vita wakati vita yenyewe haina hata wiki mbili tokea ianze. Wanatuandaa....failed stateTulioko Kagera na Kugoma tutatembea kwa miguu
Watuwekee elfu 3 wasitusumbue mwaka mzimaMamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (ZURA) imetangaza Bei mpya za Mafuta zitakazoanza kutumika rasmi kuanzia Jumatano Tarehe 09/03/2022
View attachment 2143917
Nunueni toka Burundi/RwandaTulioko Kagera na Kugoma tutatembea kwa miguu