Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Ndugu zetu wa ze komedy naona wamekuwa wanafanya matangazo au kampeni dhidi ya wanaowatuma, nashindwa kuelewa hii PIGA CHINI inayoonyeshwa mara ya 3 umuhimu wake kwa jamii ni nini? kwanza...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Fiesta Mbeya tuliwapa supplementary sasa naona wanataka kuja kujaribu kuichomoa bt hawajausoma mchoro bora wasingeingia kwenye exam room coz hawachomoki hata waingie na madesa so 26th wanadisco...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Kama mdau wa muziki kwa muda sasa nafuatilia bifu la Ruge V/s Sugu na wasanii wenye uchungu na kazi zao. Huyu Ruge sio mzaha jamaa anawanyonya sana wasanii ana anachukua ujinga na elimu yao finyu...
7 Reactions
31 Replies
5K Views
Jana nilikaa na msanii ambae alikua anampa siri kwamba eti mh! Lukuvi amepanga kumtosa mh. Sugu kwenye tamasha la kesho kutwa ili amkomoe! Anasema amepata habari toka kwa chanzo cha kuaminika kua...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Uganda's Richest Musicians Artistes who include top star Bebe Cool have been struggling financially. Red Banton was offered Red a stick of roasted meat and it turned out to be his first...
0 Reactions
9 Replies
13K Views
A world of caution to DmX & FABOLOUS... Look dog,here's real deal we are local artist called 'antivirus' in a movement against local promoters bringing you to Tanzania. The antivirus movement...
3 Reactions
60 Replies
8K Views
hii ni kudhihirisha kuwa yuko pamoja na harakati dhidi ya unyonyaji
0 Reactions
1 Replies
1K Views
vinega ni gumzo kila kampac za vyuo hapa mujini, lakini jiandaeni na wimbo wa kuuponda muzwada wa katiba mpya vinginevyo hatutawaelewa. Hicho tu kitatupagawizha ile mbaya. Ud leo watu wanapeaana...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Jamaa wanapiga mapini ya ukweli sana, Antivirus inagongwa kama kawa.
0 Reactions
32 Replies
5K Views
King of rhymes,king of all the times,the legendary himself,Darubini hitmaker baba Tunda Afande sele baada ya kumkacha Sugu atakuwepo jumamosi mtu mzima ndani ya str8 music atajumuika yeye na...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Haya sasa muda wa kumkomboa msanii ni pale ustawi jukwaa limeanza kufungwa big sound big stage for local artist sio hadi aje fatjoe huu mziki hakuna anayeumiliki tunataka msanii alipwe vizuri...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ebu tupia kura yako na 7bu zako nan mkal?na ni cku gan alikurusha kwa ngoma?aidha club au redion..yoo
0 Reactions
46 Replies
11K Views
Itakuwa ni siku ya jumamosi ya wiki hii ambayo imesheheni mapambano mengi kama yafuatayo... 1.Sugu vs Ruge 2.Vinega vs T.H.T 3.Sayansi vs Leaders 4.Deiwaka ent vs Sweet music 5.Dj Jd vs Dj...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Naombeni kujua, who is Sugu and what is antivirus!!??
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Huu ni ushauri tu ruge(Manager clouds) ni mnafiki sana alikua apigi kabisa nyimbo za LWP,Manzese Crew,Afande Sele lakini sasa ameanza kuzipiga na kutangaza kwamba watakuwepo kwenye tamasha...
2 Reactions
21 Replies
4K Views
Maceleb walitaka kuuza magazeti tu haikuwa kuachana kule.
2 Reactions
26 Replies
5K Views
Wana JF naomba kujua kama kuna anayefahamu alipo huyu Donasian Masansa.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Picha: Rosemary Mwakitangwe akiwa kwenye moja ya midahalo inayosimamiwa na VOX MEDIA... Wakuu nimetokea kumkubali huyu mwanamama kwa hasa anapokuwa kwenye ile midahalo ya "THE TANZANIA WE WANT"...
1 Reactions
19 Replies
6K Views
Tafadhali wakuu naomba kufahamishwa mahali walipo na nini wanachofanya siku hizi wasanii wafuatao: 1. Crazy GK 2. O'Nell(kama sijakosea) aliimba wimbo 'Posta, posta city center' 3. Kali P 4...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…