Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

jamaa yumo kumbe..
0 Reactions
15 Replies
2K Views
http://www.youtube.com/watch?v=N21aByP_Qlc&feature=player_detailpage http://www.youtube.com/watch?v=N21aByP_Qlc&NR=1
0 Reactions
0 Replies
2K Views
huyu jamaa sindiye yule mzee wa movie!!!
0 Reactions
8 Replies
2K Views
INASEMEKANA KUWA CLOUDS IME HACK ACCOUNT YA ADILI MKWERA NA KUANZA KUANDIKA MESSAGE KUWA KAJITOA KAMA HIVI Adili Mkwela KUANZIA LEO NAJITOA KATIKA HUU USENGE WA ANTI-VIRUS KWASABABU SISI...
1 Reactions
61 Replies
9K Views
kama utaki kimpango wako
0 Reactions
17 Replies
3K Views
kama unaujua mziki,tena si unafiki, huwez kusheherekea miaka 50,bila kumtaja nguli wa music hip hop tz mheshimiwa joseph mbilinyi,kwani alifanya kazi ya ziada na hata kuu utangaza muzik ndan ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau nimemuona Muumin kwenye uzinduzi wa Twanga Pepeta uliofanyika pale Leaders, nae ni mmoja wa waimbaji wa Twanga, je huyu jamaa si alikuwa na bendi yake? nini kimempata na mbona anaonekana...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Ni wakati anaielezea Antivirus mixtape. Amejiuliza inakuwaje mbunge anapata muda wa kutunga matusi kwa ajili ya kuwatukana watu. Je jimbo lake la Mbeya limekamilika kwa mahitaji yake hadi anapata...
0 Reactions
106 Replies
16K Views
Jana tu hapo co-host wa kipindi kinachobamba Tanzania nzima power breakfast amepata degree yake ya mass comm kutoka Tumaini University.,.Memberz wote wa JF tunakupongeza kwa hilo..tunataka tuone...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Our one and only miss TZ who managed to reach top five in Miss world, Nancy Sumari is expecting... Congrats Nancy. Pichani Nancy akiwa na "mshirika kibiashara" Ally Rehmtula.
0 Reactions
55 Replies
22K Views
Joe Frazier, one of the biggest sports icons of the 1960s and 70s, passed away tonight from liver cancer at the age of 67. He was diagnosed less than six weeks ago and spent his final days in a...
1 Reactions
17 Replies
6K Views
Kwa mujibu wa mpekuzi wetu ambaye kazi yake ni kufuatilia mambo ya watu, Diamond alifikia hatua ya kumtandika hadi akamharibu uso kisa kikielezwa ni wivu wa kimapenzi. Chanzo kiliendelea...
1 Reactions
138 Replies
35K Views
Nawasalimu wote hasa wale wenye moyo wa huruma na upendo kwa wenzetu wahitaji. Nimekwenda Muhimbili Jana kwenye Wodi ya Mwaisela namba 1. Lengo langu lilikuwa kumjulia hali Msanii wa Komedi VENGU...
5 Reactions
65 Replies
12K Views
Nimeinyaka kutoka kwenye chanzo kiaminifu kwamba JIDE kule Ufaransa amepandikizwa mimba kwani hana uwezo wa kushika kwa njia ya kawaida, kitaalamu wanaita Artificial insemination, yaani mbegu za...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Joe Frazier has liver cancer By Mirror.co.uk 6/11/2011 Decrease font size Increase font size...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
yani hii station natamani hata sugu angekuwa mbunge wa kinondoni maana angewabomoa, wanaboa na vipindi vyao yaani kila kitu wanajua kiko kinondoni tu! Wakaanga chipsi wanataja kinondoni bonge...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Miss Tanzania 2011, Salha Israel, amefanikiwa kuingia hatua ya nusu fainali ya taji la Urembo wenye malengo maalum (Beauty with Purpose) yaliyofanyika nchini Uingereza.mia 
0 Reactions
8 Replies
4K Views
wakuu naombeni kuelewa kitu kimoja,huyu Adam Malima nimemwona bungeni akijibu maswali lakini alinishtua kwa kitendo chake cha kuvaa mipete mikubwa mikono yote miwili, wakuu wa saikology mnaonaje...
0 Reactions
71 Replies
10K Views
Wanajamvi ni siku nyingi sasa simuoni wala kumsikia mzee wa mwibara ktk anga za habari na michezo kwa ujumla. Ninapenda kujua huyu bwana yuko wapi.....?
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom