Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Napenda kujua nani alimkabidhi Bendera Miss Tanzania 2011 ili kwenda nayo London kwenye Miss World? ama mwaka huu haiwakilishi Tanzania bali anaiwakilisha Lino Agency???
0 Reactions
4 Replies
3K Views
nimemuona kwenye tv kawa mweupe kama zeruzeru!jee ni ofisi imempendezesha au kiyoyozi cha landcruiser v8?
0 Reactions
46 Replies
5K Views
Wiki iliyopita Tulikuwa tumempoteza Eng Mosha, Nilipokuwa msibani niliona watu wengi wanaopenda umaarufu wakija msibani usiku baada ya mida ya kazi. Former miss T run up N. Mohd alifika na bahati...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Mzee Kipara hii ndio hali aliyofikia hivi sasa. Mzee kipara ni msanii wa muda mrefu ambaye alikuwa katika sanaa ya maigizo kwa muda mrefu, kipindi cha hivi karibuni vyombo mbali mbali vya habari...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Miss Tz 2011 Salha, ameasili (Adopt) mtoto mchanga aliyeokotwa na anatunzwa na katika hospitali ya Muhimbili. amempa jina lake la Salha. Ni jambo jema anastahili kupongezwa
1 Reactions
20 Replies
3K Views
hellooow!
0 Reactions
11 Replies
2K Views
  • Closed
Asalaam walekhum wanajamvi!dah leo nimeamua kutoa dukuduku langu humu ili mnisaidie,sasa nimetokea kumpenda mbunge wa viti maalum cdm ester matiko,uyu binti jinsi anavoongea,alivo sura yake na...
2 Reactions
67 Replies
22K Views
ephrahim kibonde na marine hassan ni watangazaji maarufu nchini, je ni yupi anatangaza vizuri kuliko mwenzake?
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Wanabodi, Nimeipata taarifa hii toka Zanzibar. "Aman kwako! Maulid Hamad Maulid, ripota wa itv zanzibar, ametangulia mbele ya haki, innah lillah wainna illahi rajiun!". Chanzo cha kifo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
NI kama anasema... unanionaje ninalipa silipi??
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Bhoke Ametuponza: Serikali Yapiga Marufuku Watanzania Kushiriki Big Brother !!!! Serikali yaipinga Big Brother (Vicky Kimaro na Furaha Maugo) Friday, 12 August 2011 21:11 SERIKALI imepinga...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Nipo hapa kijiweni kiboroloni watu wamesikitika sana kitendo cha kibonde kutowepo clouds leo,watu hapa moshi wanaheshimu sana hao watu wawili,eti wakihama clouds lazima wafunge kituo manake...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Hello sijapata kujua what went on BSS second chance jana mwenye updates tuhabarishe
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Shit, after listening to this like 50 times. I don't who killed it ?....... They all did their thing. Makes you miss the old hip hop sio huu upuuzi wanaotuletea siku hizi
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Balozi wa Marekani nchini, Bw. Mark Green amesema kuwa serikali ya nchi yake haijaombwa na Serikali ya Tanzania kumrudisha nchini aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dk. Daudi Balali...
0 Reactions
90 Replies
14K Views
Sitta aibu, JK fedheha Absalom Kibanda WIKI iliyopita ilikuwa ni wiki ya Tanzania Daima. Kwa hakika ilikuwa ni wiki njema kwa wahariri na wafanyakazi wote tunaofanya kazi katika gazeti...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hawa ni miongoni mwa vinara radio clouds kweli kuna radio hapo?? Hebu mnaosikiliza hii radio mniconvice mie pia maana nina mashaka na ujuzi wao kwenye fani ya habari na utangazaji... From...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Huyu ni mshindi wa tusker project fame 2009...alikua sun ciro aliweza sana kuteka club, na ilikuwa ni active live show... wabongo tumeshindwa kabisa?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
katika miezi takribani saba wasanii wa Nollywood wenye majina makubwa wapatao zaidi ya kumi wameaga dunia...........................na wengi wanajiuliza ni kwa sababu zipi? Yupo paster mmoja...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
NILIPOSOMA makala katika gazeti RAI toleo la 689 yenye kichwa cha habari: PRINCESS DIANA ALIFARIKI DUNIA KWA AJALI YA MUNGU YUPI? Nilisukumwa na hitimisho la mwandishi lililosema: “Kwa vyovyote...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Back
Top Bottom