Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

imekuwa ikisemwa kwa chini chini kuwa wasanii wa kike wa tht wamekuwa wakiingia katika mkumbo wa kuliwa kama sio kumegwa na baadhi ya WATANGAZAJI NA VIONGOZI wa redio ya watusasa nimeamua kuleta...
1 Reactions
65 Replies
26K Views
yaani haya ya wazungu ni magumu kuelewaka............. Cheryl and Ashley Cole (Pic: PA)
0 Reactions
2 Replies
1K Views
They're affluent,classy,stylish and exposed. They run Dar and outside... They got the money,the means and the power. Meet Tanzania's power couples Lance and Mange Maliq and Kiki Joyce...
0 Reactions
59 Replies
21K Views
Amenishangaza sana huyu mbunge, ambaye kimsingi wana-Mbeya walitaraji kwamba atakua mkombozi wao....sasa mambo ya ugomvi wa mademu, Clouds FM, Fiesta anapeleka kwa wananchi!!!? Matatizo ya msingi...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
YouTube - ‪Sugu akiisifia Fiesta‬‏ ukiifuatilia hiyo link apo juu utamuona huyu m'bunge wa mbeya mjini akiisifia fiesta itakayofanyika jimboni kwake kesho kama sikosei hivi ni...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nawasalimu WOTE kwa jina la JF, Mwanzoni kiss Fm redio ilikuwa inashika vizuri tu,mara ikaanza leo inapatikana, kesho haishiki mwishowe kwa sasa haishiki kabisa Dodoma kwa zaidi ya miezi kama 5...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani hivi hii ni kweli au wanatuchezea akili? Sugu huyu huyu aliyeikataa Fiesta now anaisifia! angalia hiyo video kwa makini mi nahisi wameichakachua SUGU VIDEO
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Boris Johnson and Wayne Rooney's hooker attend Spectator party by Alun Palmer, Daily Mirror 9/07/2011 Decrease font size Increase font size...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nadhani ndio movie inayopigiwa promo sana hapa bongo kwa muda huu. Kwanza nimpongeze Kanumba, kaicheza vizuri. Halafu kuna sura mpya mpya nyingi nadhani ananyayua vipaji. Wasanii akina swebe...
4 Reactions
35 Replies
14K Views
Jamani mimi nimetokea sana kumpenda dada huyu mwimbaji wa music wa injili, kwa jina ni Martha Mwaipaja. Sijui nifanyaje nijitwishe mzigo huo du naumia sana kwa kweli kila nikimuangalia simmalizi...
1 Reactions
19 Replies
7K Views
Zitto Kabwe: Am in Juba-South Sudan, Karibia hotel zote ni 'makeshift' hapa Juba. Baadhi ni containers. Mji umepambwa na picha za Garang. Ulinzi ni wa Hali yajuu sana. V8s, Hummers na Nissan...
2 Reactions
25 Replies
4K Views
Nimekuwa nikisiliza Radio Clouds fm. Kwa takribani wiki mbili sasa kumekuwa na Tangazo ambapo inasikika sauti ya Mh. Zitto Kabwe akihamasisha wananchi washiriki kwa wingi katika Fiesta. Wiki...
1 Reactions
60 Replies
7K Views
http://youtu.be/jm2l0FNBsn4
0 Reactions
16 Replies
7K Views
Last Thursday, the Internet was set ablaze by the passion that once burned inside Michael Jordan's teenage heart. Somehow, the site Letters of Note got a hold of a 1980 love letter from His...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ten years of making Harry Potter films, by cast and crew The actors, producers, directors and crew of the Harry Potter series tell Ryan Gilbey the inside story of the defining film...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
JF, tangu jana nimeanza kutafakari upya juu ya report za Jerry Muro na kukumbuka umahiri wake katika kutoa habari bila woga, huyu jamaa ni shujaa kama kina Ndimara Tigambwage and Said Kubenea na...
3 Reactions
31 Replies
4K Views
  • Closed
Lulu sasa alia kuchafuliwa...
0 Reactions
49 Replies
7K Views
Eti yule Bishanga wa kkundi cha mambo hayo, cha kitambo itv, kapotelea wap? Mwenye isue atujuze!
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Kale kadadaketu kalikutwa hivi huko Mji Kasoro Bahari kwenye Fiesta. Wapi heshima ya madada zetu?
0 Reactions
30 Replies
9K Views
Mwanamuziki 20 pasent amepata ajali ya gari mkoani kigoma baada ya tairi la gari hiyo aina ya noah kupasuka na gari kupinduka,msanii huyo na wenzie waliokuwa wakitokea kigomwa kwenda mwanza...
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Back
Top Bottom