Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Hivi ma "celebrity" wetu wana mwelekeo gani kuhusu kujenga future yao kwa maana na kumiliki makazi (nyumba)? Kuna baadhi ya ma celebrity wa zamani ambao wanamiliki nyumba zao lakini kwa mwelekeo...
0 Reactions
25 Replies
7K Views
Celebrity news Elton John and David Furnish become parents Elton John and his partner David Furnish have become parents of a son born to a surrogate mother, it...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Kama mungu angetuwezesha mama zetu kuweza kubana tusiktoke wakati wa kuzaliwa basi ningemwambia dada yangu j asimtoe uncle wangu fatty...tar 24 ili na yeye aingie kwenye didybook ya waliozaliwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Baada ya kupigwa ban na viongozi wake kundini kutokana na ulevi wa kupindukia na utovu wa nidhani, hatimaye msanii Vengu kamaliza kifungochake na yupo on air tena. Kwa wale WAPENZI wake kaeni mkao...
0 Reactions
44 Replies
10K Views
Eti wadau magazeti ya Rostam Aziz na yale anayoyafadhili ni yapi?
0 Reactions
21 Replies
5K Views
habari nilizopokea sasa hivi kutoka kwa afisa mwandamizi wa polisi, Pedeshee mmoja Ndama mtoto wa Ng'ombe anashikiliwa na polisi kwa kuhusishwa na mali za wizi
0 Reactions
27 Replies
10K Views
Haya wajemeni maji hayooo,ingependeza kama tukimuunga mkono huyu dada yetu...mie mnafagilia sana anajituma sana...keep it up Jaydee!
0 Reactions
50 Replies
7K Views
Bibi Elizabeth Gupta anategemea kufunga ndoa Jan 2011 na Kelvin. Send off inategemea kuwa 02-Jan-2011. Vikao vya send off vinaendelea. Ninawatakia kilala kheri watajariwa hawa wawili, mungu awape...
0 Reactions
30 Replies
6K Views
Kimya kingi kina mshindo...video kwa udhamini wa..... YouTube - "SHUKRANI"-NAKAAYA She seems to be very white and nenepa sana au macho yangu?? NB:She is already taken.
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Mke wa muasisi wa muziki wa Reggea, Bob Marley amesema iwapo atapata mwanamume mwenye uwezo(hakutaja ni uwezo gani), yupo tayari kuanza uhusiano wa kimapenzi na mtu huyo. Dah, hii imekaaje?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
WanaJF epukeni kutoa kauli tata kama haitapita wiki hii lazima ufe na zinazofanana na hizo katika jamii inayotuzunguka ili yasije kukukuta kama ya bibi mmoja kikongwe mkoani Maswa - Shinyanga...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Send off ilikuwa si mchezo ilifanyika 2/Jan./2011 na Kitchen Paty 31 Dec. 2010 Msela Kevin aliingia kwenye kitchen party kapiga Jeans na sio pasna kama tulivyozoea Wadau walimtunza mwali na NAira...
0 Reactions
60 Replies
23K Views
I love the game of golf, but it's challenging. Most of of time I have trouble getting the ball to go in the right direction.No matter how carefully I am, the ball often lands somewhere else. The...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mi nashangaa hawa viongozi sijui vipi jamani? eti ikitokea ajari tu ndo wanaanza kusema tunakagua leseni za wendesha pikipiki, inamaana muda wote hawajui kuwa wanawajibu huo?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hii ya akina Kanumba jamani nimeipenda walipofanya ziara Congo DRC na Rwanda,wamepokelewa kama wafalme,kweli nabii akubariki kwao.
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Hey nobody would willingly take on a health problem.We all want to be healthly.But many of us choose to do something that is terribly unhealthy;something that affects our physical and emotional...
0 Reactions
0 Replies
932 Views
The Memphis Grizzlies nicknamed him Hasheem “Thabust” just to express their sentiments due to poor contribution he brings on the table for his organization. The atmosphere is not compelling at...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
bongo star search wenzangu mwaionaje
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Back
Top Bottom