Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Mimi napata kigugumizi juu ya mwenendo wa wasanii wetu,inakuwaje shindano linaanza watu wanajipanga kila siku wanacheza na jasho linawatoka,tena ukiangalia wengi wao ni maarufu sana TZ. Inamaana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ama kweli mtoto wa nyoka ni nyoka tu. mtoto huyu wa miaka takribani 9 amekuwa selebu si kwa sababu ya baba yake will smith na mama yake jada pinkett; ambao pia ni maselebu. ni kutokana na...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
JF Stats Top 10 Posters 1 Mzee Mwanakijiji 21,349 2 Nyani Ngabu 19,836 3 Bubu Ataka Kusema 14,101...
0 Reactions
68 Replies
5K Views
Leo ni siku ya ukimwi duniani na kama kijana ambaye pia niko katika kundi ambalo liko hatarini kwenye maambukizo ya gonjwa hili hatari, naona ni busara kugusia na kutoa hamasa kupitia jumbe...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mzee Muhidini Maalim Gurumo ni mgonjwa amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Wodi ya Mwaisela,wodi No.5.Mzee Gurumo ni mmoja wa wakongwe wa Muziki alianza Muziki mwaka 1960 akiwa na Bendi...
0 Reactions
26 Replies
5K Views
Ndugu wana JF Kwa wale ambao wameshuhudia chaguzi za nchi mabalimbali, tumekuwa tukioneshwa familia za viongozi wa nchi husika ikiwemo watoto na pia wake zao kama yuko zaidi ya mmoja mfano Zuma...
0 Reactions
31 Replies
6K Views
Wakuu, Hivi ina maana SUGU na Ruge wa biff kubwa kiasi hiki!!! Nimesikia album ya SUGU inayoitwa "anti-virus" na inayopatikana on-line bure ni balaa!! Maana SUGU anatukana live na kuelelza...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Wakuu jana nimebahatika kumsikiliza ripota maalumu wa redio ya watu mwanamama Regina Mwalekwa akiripoti habari za bungeni kwa kweli kama walimtoa ITV/Rado1 katika "dirisha dogo la usajili" kuja...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
hivi hichi chombo kinacho deal na ethic and code za radio kimekufaa au kiko hai,Radio ya cloud fm[clauzzz]hii radio ina nichafua sanaa watangazajii wamekosaa lugha nzuri kabisaa ya kuongea,leo...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
hivi joti ni mwanaume kweli? au ndo hivyo tena kama wanavyosema mitaani wengi....jamani kwa wale ambao wako karibu naye, hivi tupeni story, manake kuna uvumi kuwa si riziki. kwa upande wangu...
0 Reactions
54 Replies
14K Views
Mheshimiwa Joseph Mbilinyi, Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, awali ya yote mimi nikiwa mwakilishi wa Blog ya Mohammed Dewji, Mo blog, ninachukua nafasi hii kukupa pongezi kwa kuaminiwa na...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Yuko wapi Maiko Maluwe mtangazaji wa kipindi cha michezo channel ten? Sijamsikia kipindi kirefu.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nijuze aliko Dr. Zainab Gama. Ni kweli kavutwa ndani na Dr. Gharib Bilal?
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Uvumi kuhusu skendo za wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakiwa Dodoma, sasa unaweza kupatiwa jibu lililonyooka kutokana na kazi makini ya kuwakagua iliyofanyika kwenye hoteli...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
jamani utasema hapa ni kuigiza tuuuu?
0 Reactions
24 Replies
4K Views
From MARC NKWAME in Arusha, 21st November 2010 @ 12:00, Total Comments: 0, Hits: 143 LUCAS Mkenda, the Bongo-Flava artists who used to be known as 'Mr Nice,' has just resurfaced at the Arusha...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Fast And The Furious stars Paul Walker and Jordana Brewster take the pace down a notch in Brazil By Daily Mail Reporter Last updated at 10:22 AM on 4th November 2010 Paul Walker and...
0 Reactions
7 Replies
11K Views
Waigizaji wetu wanafikiri ukiwa good looking inatosha kuwa nyota wa filamu.....rewind...ni zaidi ya sura na umbo zuri...talent....na waliosomia tasnia hii..sio unakurupuka tu unataka kuigiza...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom