Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Wakuu nimeona picha kwenye Mtandao wa Shigongo kuwa Selebu wetu Mr. Nice amepigwa vibaya sana kiasi cha kuvuja damu usoni. This is too sad..
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Habari zilizosambazwa kwenye "Kitabu uso" Facebook Kuwa wakiwa wanaenda au kutoka katika kisiwa cha Bongoyo boti yao ilipinduka na wao kumwagwa baharini ambapo waliokolewa lakini watano kati yao...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
YouTube - Oliseng-Ke a Cha,Ke a Tuka YouTube - Oleseng - Kurubela YouTube - Oleseng - Ke Ngoana Hao YouTube - Oleseng - Lentsoe Learn how to play Ukulele - Ukulele Videos - Boikgantsho...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Tiger Woods ameachana rasmi na mkewe Elin Nordegren. Woods ametangaza katika website yake na kusema kwamba ndoa yao na Elin imefikia tamati leo na hukumu imetolewa leo katika mahakama ya kesi za...
0 Reactions
44 Replies
6K Views
Naomba mwenye taarifa, yule mama wa upinzani Chiku Abwao yukowapi jamani? Mara ya mwisho nilimsikia Iringa huko. Kama ana mume anisamehe nilikuwa namzimia sana!
0 Reactions
6 Replies
2K Views
AP – FILE - This file photo made available Monday, June 4, 2007 by the Los Angeles County Sheriff's Office …...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi bado najiuliza jamani hili ni pepo ama alipitiwa ama ni tamaa tu ilimpitia suala la mtoto wa rostam kukamatwa kwa kubaka mtoto wa mugabe. Kuna wanaosema kijana alikuwa anatafuta kujulikana...
0 Reactions
13 Replies
9K Views
WINDERMERE, Fla. (AP)—Tiger Woods’ ex-wife Elin Nordegren said she has “been through hell” since her husband’s infidelity surfaced but she never hit him, according to an interview released...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wapendwa mliosoma magazeti ya jana na juzi nimeshangaa kuona mzee wetu chenge akikanwa na kampuni ya bima alioleta mahakamani na kuambiwa aijatoka kwake na hiyo alioleta na ya gari aina ya PAJERO...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani huyu Beyonce naona chuchu nje nje Mmmhhh!.
0 Reactions
15 Replies
3K Views
:argue: ashley cole na mkewe cheryl cole wameingia katika mzozo mkubwa wa kindoa sababu ikielezwa kuwa mwanaspoti huyo ni mzinzi na inasemekana ameshasamehewa na cheryl mara kadhaa...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Mahojiano: Dina Marios na Mama Hasheem Thabeet 08/18/2010 Mahojiano haya yamenukuliwa yalivyo toka katika blogu ya Dina Marios, mtangazaji wa kipindi maarufu cha Leo Tena katika redio ya...
0 Reactions
7 Replies
7K Views
Washikaji mnalikumbuka hili kwanja? YouTube - MSELA - Clouds Production
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Yaani hawa ndugu zetu na hiki kiingereza, sijui nani aliwaambia English makes their work sound great! Hapo si bora wangeandika "Tayari ipo madukani' kuliko huo upupu!!!! Safari bado ndefu for...
0 Reactions
17 Replies
9K Views
Wapendwa kwa walioangalia comedy iliopita ni mahuzuniko makubwa sikuamini lijemaa kubwa kama mpoki aanaweza kusema matusi kwenye luninga ya jamii kama ile inahuzunisha sana ilikuwaje walifika...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kanye West made sure to check out Rihanna when her “Last Girl On Earth” tour hit Madison Square Garden last night. Check out shots of her simulating sexual acts onstage and her afterparty look...
0 Reactions
3 Replies
8K Views
Hivi hii ni sawa? masuala ya kimagharibi yanazidi kutuaribia kizazi chetu, tufanyeje kukomesha hali hii,
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wapendwa napenda kuwapa pole waliohusika kwa namna moja ama nyingine kwenye uhuzuni ya mpendwa wetu mzee godfrey mwanache aliezikwa jana makaburi ya kinondoni hakika sikuamini ila najua kila kitu...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
wakuu, kuuliza si ujinga. labda kwa vile mimi sio shabiki sana wa tasnia hii ya bongo fleva na hip hop au kwa vile huwa nam associate benz na jamaa kassim wa amore; ambaye nilikuwa najua ndio...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Back
Top Bottom