Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

By Sangu Joseph Siku kadhaa Nyuma nilipata muda wa kutafakari kwa kina kuhusiana na Mchekeshaji Joti, nadhani kama Heshima anayopewa siyo anayostahili hapa kwetu Tanzania. Mimi kwangu binafsi...
14 Reactions
21 Replies
4K Views
Albert Mangwair ft Lady Jaydee - Mapenzi gani. Naisikiliza hapa hii ngoma, asee Cowbama ilikuwa kiwango kingine, ujumbe, huu mtiririko wa humu, midundo. R.I.P Cowbama.
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Naona kuna uwezekano haya ni mambo ya ndani sana ambayo pia msela alishaifahamu. inaonekana bomu hili lilizimwa kiutuzima na watu wengi kuficha heshima ya kanisa lao na jamaa yao kiongozi. Sasa...
2 Reactions
25 Replies
4K Views
Hawa jamaa wamerudi na ngoma yao nyingine ya mzee wa busara part II. Wanafurahisha tu kuwaskia tena baada ya miaka mingi wamenirudisha back in time. Nature kweli kiroboto yupo vilevile na ubora...
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Tuukubali ukweli kwamba kila nabii na zama zake. Tuliona miaka ya elfu mbili mastaa kama Professor Jay, Ngwea, Fid Q, Kalapina, Juma Nature n.k, wakitawala Hip Hop huku Fid Q ndio akivaa taji...
5 Reactions
78 Replies
4K Views
Hivi kuna muimbaji wa muziki wa injili aliwahi tokea kumzidi Rose Muhando, naongelea wote wakike na wakiume? Kwangu mimi bado sijaona! Ukianza na Uwe Macho, Nibebe, Utamu wa Yesu, hizi album...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Jana huko mitandaoni palizuka ugomvi wa haja uliopelekea mwanamama Restuta Kweka aka rest BBQ kuingia live na kuwachamba mno Open Kitchen na Rachel Temu. Kisa cha ugomvi ni biashara mpya...
12 Reactions
67 Replies
9K Views
Aisee baada ya kifo cha TAKE OFF sijui kama kundi litaendelea kuhit..kifo cha jamaa kimetikisa sana yani bado najiuliza why niggaz wanauana sana huko USA?? ukisikiliza album kama CULTURE III ndo...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Msanii mahiri wa Tanzania, aliyewahi kuwa mshindi wa Big Brother, Idriss Sultan apata dili la kimataifa la kuonekana kwenye kampuni kubwa ya kuonesha Movies ya NETFLIX
10 Reactions
61 Replies
9K Views
Nyimbo inamiaka 20 sasa!
2 Reactions
8 Replies
5K Views
Wadau nimeamua niulize hili swali ili nipate uhakika! Ni usiku huu nipo nimetulia hapa mageto nasikiliza Clouds FM, nadhani itakuwa ni kipindi cha Soso Fresh Friday (sina uhakika), Adamu Mchomvu...
12 Reactions
53 Replies
7K Views
Muziki una ushawishi mkubwa Duniani kisiasa (wakati wa kampeni na ziara ),kiuchumi na kijamii. • Takwimu zinaonyesha kwa wastani mtu mmoja ana tumia masaa 961 kusikiliza muziki kwa mwaka. •...
4 Reactions
48 Replies
5K Views
Hawa wasanii wa bongo starehe zitawapeleka pabaya Kibaya zaidi wakipata shida wanaenda kulia kwenye mitandao ya kijamii na kuomba msaada Mimi nadhani Wasanii wa bongo wanaitaji elimu ya...
3 Reactions
36 Replies
6K Views
Watanzania wote kwa pamoja bila kujali tofauti zetu za kimapato na uelewa. Tuungane kuiomba serikali ifanye siku ya tarehe 02 October kila mwaka tuwe tunapumzika kusherekea zawadi tuliyopewa kama...
8 Reactions
73 Replies
5K Views
Mke wa zamani wa Billionea wa Microsoft Bill Gates, Bibi Melinda Gates (58) ameangukia kwenye penzi jipya na Mwana habari Jon Du Pre. Wawili hao walionekana Kwenye mchezo wa Kikapu pamoja na muda...
15 Reactions
65 Replies
8K Views
Naomba kujua jina la muigizaji huyu wa bongo movie. Natanguliza shukrani
2 Reactions
33 Replies
6K Views
Hip Hop/Rap Music ni Mziki Wenye Ushawishi Mkubwa Hasa kwa Vijana Wanapofikia Age Fulani. Licha Ya Hapo Mwanzoni Hip Hop Kujikita Zaidi Kiharakati Na Muziki Unaopendwa Zaidi Na Kundi Fulani Katika...
2 Reactions
34 Replies
3K Views
Wakiwa njiani baada ya kukubaliana na Prof Jay kuwa kuna show wanaenda kupiga mkoa fulani, Ferooz ghafla akamwambia Prof Jay kuwa naona miyeyusho hii safari kama vipi nageuza [emoji23][emoji23]...
30 Reactions
133 Replies
19K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…