Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Franco luambo luanzo makiadi ni mwanamuziki anayefahamika sana barani Africa kwa nyimbo zake nyingi nzuri na ambazo mara nyingi alizitunga kutoka katika maisha yake binafsi Baadhi tu ya nyimbo...
15 Reactions
106 Replies
22K Views
Hapa kati ya hawa watoto nani anaweza kuyarudi? Waswahili wanasema kusasambua, kuyanengua, kuyamwaga mauno?
5 Reactions
51 Replies
3K Views
Hii habari ndiyo kwanza nimeiona. Binafsi ni mmoja wa mashabiki wake . Hii habari imeni_pain mno. Hapo kabla alisha_survive matukio mawili ya kupigwa risasi. Hili tukio limetokea jumatano mchana...
12 Reactions
126 Replies
15K Views
Baba wa kambo wa Pac na baba mzazi wa rapa Mopreme, kaka yake Assatta hatimaye yuko huru, lakini ana siku chache za kuishi sababu ya kansa. Taarifa zaidi inafuata.
0 Reactions
3 Replies
621 Views
Ingawa binadamu hatupendi kutangaza mafanikio ya watu ukweli ni kwamba Kanyewest anakwenda kutajirika kwasababu United (benki inayomilikiwa na watu weusi) imempa nafasi ya kuwekeza pesa katika...
8 Reactions
20 Replies
2K Views
Sasa hivi shujaa wetu Majaliwa apewe muda apige pesa na matangazo ili sasa Januari aende kupiga kwata, si vema kumuwahisha sasa hivi. Hata hivyo, nina wasiwasi na wale watu wa majeshi huko...
5 Reactions
9 Replies
1K Views
Maneno ya Baba Levo akihojiwa huwa anaongea vitu fulani hivi ukivichunguza utajua nini kinaendelea Konde Village. Mara nyingi Baba levo akiulizwa mahusiano ya Kajala na Harmonize amekuwa akijibu...
25 Reactions
138 Replies
13K Views
Wana Jamii Forums hope ni wazima wa afya, njooni tujadili kidogo. Hivi ni kweli kwenye uzima wake Albert Magwair hakukuwa na rapa mkali kuliko yeye? Ni kweli pengo lake Ngwair hadi leo...
0 Reactions
14 Replies
963 Views
Asitegemee madili makubwa makubwa kumfata, hakuna kitu kinaitwa kuwa na nyota, kuna mpango, ama ikufate moja kwa moja au uifate!
11 Reactions
114 Replies
14K Views
Kwenye wimbo wake " Troublesome 96" Tupac anasema " SCREAMIN CUFK ALL Y'ALL NIGGAS IN SWAHILI" # Nimepata ushahidi mzito na wenye mashiko kuhusu Tupac kuwa hai. Nitaupost kesho. # The other day...
4 Reactions
57 Replies
8K Views
Mwimbaji maarufu wa nyimbo za injili eneo la Kati Mary Lincoln amejikuta akiingia Kanisani kutubu na kutafuta maombi baada ya picha na video zake za utupu kusambazwa mitandaoni. Aliandamana na...
4 Reactions
52 Replies
8K Views
Naona mmakonde kaaanza mgogoro na zuchu[emoji16]
3 Reactions
41 Replies
5K Views
Taarifa zilizopo ni kuwa Anjela yupo Basata akipambana angalau kupata haki yake, hata hvyo mshale unaonekana atashindwa tuu, mana Harmonize hajatangaza kumfukuza kama alivyowafukuza wengine...
19 Reactions
77 Replies
9K Views
Oktoba 10, 2022, kupitia kurasa rasmi za mitandao ya kijamii za Konde Music Worldwide, Harmonize alitangaza kusitisha mikataba na waimbaji Killy (Ally Omar) na Cheed (Rashid Mganga). Harmonize...
2 Reactions
29 Replies
3K Views
Hi movie ilitakiwa ipewe heshima yake katika ulimwengu wa sanaa kwa namna bora ya uigizaji na namna ilivyoweza kuleta muamko mkubwa ndani na nje ya tasnia ya bongo movies. Nadhani hio ndio ilikuwa...
11 Reactions
55 Replies
6K Views
Rapper kutoka Toronto, Canada, Drake, pamoja na rapper kutoka Atlanta, Georgia, 21 Savage wameshirikiana kuandaa album inayoenda kwa jina la "Her Loss." Album hii ilitarajiwa kuachiwa hewani...
2 Reactions
6 Replies
969 Views
= Nay hajawahi kuniangusha ! Ujumbe umefika...... = Lyrics Sauti Ya Watu - Nay Wa Mitego ... Hii sio sauti ya kiharakati Wala ukombozi wa musa na fimbo yake Bali haya ni maumivu ya mnyonge...
17 Reactions
24 Replies
5K Views
Wana JF Watu wengi wamekalia lawama nyingi sana na kuhukumu kila kukicha nafasi ya kondeboy Harmonize katika mikakati ya kuangushwa na mpenzi wake na mtu mzima Kajala. Pengine ufagio mpya...
7 Reactions
18 Replies
2K Views
Wale wapenzi wa muziki wa Congo watakua sio wageni wa Petit/Little Reagan. Bwana mdogo aliesherehesha albamu ya mwanamuziki wa Congo B. Bula Ponderation 8 ya mwaka 1999/2000. Kwenye hiyo albamu...
10 Reactions
12 Replies
3K Views
Kwa wanaofuatilia Amapiano watakuwa wamesimkia Uncle Waffles....He is a South African Amapiano artist.... Ana track yake inaitwa Tanzania....Tanzania ni club iliyopo Jozi. Sababu za kuiita track...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…