Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Joseph Kusaga ameshea jina la EP ya Mbosso. Ep itaitwa KHAN na itatoka kesho saa 6 usiku.
6 Reactions
36 Replies
3K Views
Nimekaa nikafikiria Kama kuna mtu mwenye huzuni duniani kwa sasa atakuwa mwanamama Celine Dion sababu kafiwa na mumewe alhamis kabla hata hajamzika mumewe Jana kaka yake kafariki yaani kapoteza...
8 Reactions
84 Replies
17K Views
Nimekuwa na mashaka na aina ya suti uliyovaa. Napenda kujua ni kanisa gani ulilotoka kuabudu? Hata hivyo kwa jibu lolote, najua hakuna jipya chini ya jua.
11 Reactions
92 Replies
18K Views
Angalieni hii video. Khaled anaweza hizo gharama za utunzaji, gharama za kupaki? Aah kwanza huko mbali, bei ya hizo ndege ni $100M-200M, eti anataka awe kama Drake! Drake mwenyewe siamini kama...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Mwenye Buti ni tajiri namba moja duniani Elon Musk na Mwenye Koti ni msanii maarufu nchini marekani Kanye West wakiwa kwenye picha ya pamoja. Wenzetu wanaishi maisha ya tofauti sana huwezi dhania...
19 Reactions
79 Replies
8K Views
Baada ya Harmonize kavunja mkataba wa Cheedy pamoja na Killy chini ya Label yake ya Kondegang baada ya kufata pendekeza la Manager wake Kajala Masanja. Cheedy na Killy wameenda Basata kudai...
13 Reactions
44 Replies
5K Views
Tukio hili limefanyika ndani ya Kanisa la Feel Free Church jijini DSM Mama mchungaji Monica Leo Ilikuwa ni siku yake ya kuzaliwa hivyo mumewe ambaye ni Askofu mkuu wa FFC Tanzania mchungaji...
19 Reactions
152 Replies
13K Views
Najiuliza HIV inakuaje msanii Kama Rayvanny ameshindwa kumalizana na Diamond hadi kaamua kumpeleka Diamond BASATA. Hiv anadhan mikataba inaweza kuvunjwa kirahis tu na basata. Afate masharti ya...
14 Reactions
105 Replies
13K Views
Promota wa onesho la CHIMEZIE CHUKWUBUIKE ametoa malalamiko yake juu ya msanii wa Bongofleva Harmonize ambaye kakiuka makubaliano ya kufanya onesho. “Nilimpa Harmonize pesa Dola elfu kumi kwa...
6 Reactions
54 Replies
5K Views
Hivi karibuni kuna tukio limetokea huko Marekani ambalo kwa upande wangu limenifanya nifikiri tofauti kabisa. Msanii Kanye West alishambuliwa sana kwa maneno toka kwa Black Americans kisa kikiwa...
9 Reactions
26 Replies
3K Views
Video hiyo hapo "Yaani namuachaje huyu msichana, nimuache huyu dada halafu? Yaani hata ndoa ziishe leo zote halafu kesho tuanze upya namrukia huyu huyu! Nataka niwaambie kwa lugha rahisi...
41 Reactions
380 Replies
27K Views
Oya kwema wakuu? Jana katika pita pita zangu nikamfuma huyu jamaa bishoo kajibanza mahali anapiga chai kwa mama ntilie. Nikajiuliza zile show off za kutumia mamilioni kwa ajili ya kifungua kinywa...
10 Reactions
46 Replies
6K Views
Sina nia ya kumdharau mtu, lakini ukweli lazima usemwe. Harmonize ni Msanii mkubwa kwa sasa hapa Tanzania, ukitafuta Wasanii watatu wanaofanya vizuri kwa sasa hapa Tanzania huwezi mkosa...
11 Reactions
63 Replies
6K Views
Msanii wa kike namba moja Africa ya mashariki na Kati supastaa Zuchu leo amechaguliwa kushindania tuzo ya MTV Europe music awards. Ameingia kwenye kipengele cha best african act na mshindani wake...
3 Reactions
55 Replies
4K Views
Mange Kimambi anaweza kuishtakiwa kwa kuvunja haki za binadamu ikwemo udhalilishaji, ndio maana Instagram waliondoa account yake kwa kosa la kudhalilisha binadamu. Biashara ya kuuza video...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Sio vibaya hawa wakijipanga sehemu nyingine. Muziki ushawaacha. 1. Fid Q Si vibaya ukapumzika. Maisha sio music pekee. 2. Joh Makini Samahani. Inauma lakini ndo ukweli. 3. Mwana FA Kaka umebaki...
7 Reactions
128 Replies
13K Views
OGOPA mno kuchanganya mapenzi na kazi! Saa kadhaa baada ya Harmonize au Konde Boy kumtangaza Kajala Masanja au Mama Paula kuwa C.E.O na meneja wake mpya, meneja mwingine wa jamaa huyo, Beauty...
5 Reactions
33 Replies
6K Views
Wanawake wenye tamaa huwa wanafiki sana. Hasa hawa wetu huku. Huyu ni mwanamke maarufu aliandika yake ya moyoni kuwa anavutiwa kingono na wanaume weusi. Ijapo bwana yake simfahamu, hiyo ni...
6 Reactions
61 Replies
6K Views
Huyu msanii wetu amepost kwenye facebook story, video za ajabu sana. Lengo lake nini? Anajiuza? Au ametumwa kutumahasisha tufanye visivyo sawa?
3 Reactions
28 Replies
5K Views
Ukubali ukatae ila kwa sasa harmonize na konde gang ndio wanaongoza kimuziki hapa nchini. Mangoma makali sana kutoka kwao na kipesa yuko vizuri. Ana Show zake nyingi nje ya nchi nikwanzia dola...
6 Reactions
30 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…