Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Binafsi kwa sasa sijaona msanii mwenye kipaji cha aina ya Aslay kwenye bongofleva kwa sasa. Huyu kijana ana uwezo mkubwa mpaka sioni wa kumfananisha nae kwa sasa, kumekuwa na mjadala Diamond...
2 Reactions
21 Replies
10K Views
Nimekuwekea ujumbe husika na picha
1 Reactions
10 Replies
2K Views
The last pre-trial hearing before R. Kelly's federal sex-trafficking trial begins next week featured a laundry list of what will and won't be heard by the jury, including his secret marriage to...
2 Reactions
65 Replies
10K Views
Habari za jioni wanajamvi. Taarifa nilizozipata punde zinasema mfalme huyo wa taarabu anaacha rasmi mziki huo na kumrudia mungu. Mungu amjaalie wepesi afanikiwe katika dhamira yake UPDATES...
9 Reactions
322 Replies
82K Views
Wakuu Huu ndio Muonekano wa Modonna and her adopted son David Banda. . Kama mtakumbuka Kijana Huyu David was adopted when he was 13 months from Malawi [emoji1156] . Daaaah Kijana David ameshapotea...
18 Reactions
193 Replies
22K Views
Mwimbaji R. Kelly anaweza kukabiliwa na miongo kadhaa jela atakapohukumiwa siku ya Jumatano, miezi tisa baada ya kupatikana na hatia ya kuendesha mpango wa kuwanyanyasa kingono wanawake na watoto...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Mimi naanza na Jenerali Banza Stone a.k.a Mwalimu wa Waalimu, karibuni na nyie muendelee...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa kweli huyu jamaa kwa EA nimegundua ni underrated sanaaa. Hii ni baada ya kusikia ngoma yake ambayo imeingia kwenye chati zilizotoka juzi za sound city. Imeingia kama wimbo bora kwa muongo...
8 Reactions
85 Replies
9K Views
Hongera sana Harmonize. Umefanya kitu kikubwa sana. Mimi ni Yanga lia lia but leo niseme wazi kwamba tukio la Harmonize na Kajala limefunika tukio la sherehe ya ubingwa wa Yanga. Mitandao ya...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Tarehe 20/ April 2018 Msanii wa Hip Hop na producer Jermaine Lamar Cole almaarufu J Cole anatokea kwny viunga vya Fayettevile, North Carolina, Marekani. Alitoa Album yake ya tano iitwao KOD yenye...
2 Reactions
2 Replies
4K Views
Tunawatakia Maisha mema ya ndoa na wawalee watoto wao katika njia zimpendezayo Muumba. Wawe mfano bora kwa wengine.
5 Reactions
37 Replies
3K Views
Bwana harusi Bwana Rajab Harmonize Ni Msimamizi Wa Hovyo kuwahi kutokea nchini. Huyu jamaa ana groom wasanii halafu hajui kuwasimamia wasanii hao. Hebu angalia Jinsi anavyofnya kazi na wasanii...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Tuache utani wakuu huyu Mimi Mars haimbwi sana midomoni mwa watu na yeye mwenyewe sijui anajichukuliaje but ngoma zake zote zina taste nzuri sana. Naenjoy "La la la" aliyo mshirikisha Toto bad...
10 Reactions
51 Replies
4K Views
Leo hakuna cha salamu, nimeshaona kwa wanawake zaidi ya wanne wa jamaa zangu wakiwalazimisha waume zao kuwa liwalo na liwe kwenye events zao Mc ni lazima awe GaraB. Sio mbaya, jamaa yupo vizuri...
3 Reactions
74 Replies
11K Views
Erika Goldring/Getty Images RICK ROSS CELEBRATES BECOMING A GRANDFATHER FOR THE 1ST TIME PARIS, FRANCE – Rick Ross has five children, and one of them has officially made him a grandfather. On...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu Habari ya Asubuhi na Poleni na Hekaheka za Ashura Wa Tabata. Niko Nasikiliza Ufm Radio ya Azam Media, Anahojiwa Msanii Wa Maigizo Anaitwa Sophia Kanumba. Binti Huyo Anadai aonekani Nchini...
4 Reactions
44 Replies
8K Views
Unaambiwa kwenye mbio za maisha ukipata nafasi ya kupiga hela kihalali itumie haraka sana , Kuchelewa ni hasara kubwa sana. Huyu kijana alipata nafasi ya kuvuna chochote hadi baadhi ya viongozi...
7 Reactions
28 Replies
3K Views
Wakuu, Huyu mwamba nguli wa riwaya, Husein Tuwa, bado anaendelea kuandika riwaya zake? Huyu mwamba riwaya zake zimeenda shule! Nakumbuka riwaya za Mkimbizi (ambayo baadae aliandika kitabu)...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari wana JF, Hivi kwanini Orijino comedy dstv haina wafuatiliaji wengi ,Shida ni nini? Kukosekana kwa Joti? Muda uliowekwe kwa ajili ya hicho kipindi? Kwa kifupi hata viewers wa clips zao...
6 Reactions
66 Replies
6K Views
Kutupia mapicha mabovu hadharani wengi wanasema ni usanii, lakini si sawa ukiweka maanani kuna watoto wao wanaoona kila kitu.
8 Reactions
94 Replies
9K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…