Waigizaji maarufu wa Hollywood Marekani Johnny Depp na Amber Heard ambao walifunga ndoa na kutalakiana wako mahakamani kusikiza kesi ambayo Johnny Depp akitaka fidia ya 50 m $ kutoka kwa Heard...
Tukubali Dada huyu hata kama mnamponda lakin kuna namna moja au nyingine alikugusa kihisia,
Hebu tupia picha yake iliyokugusaa
Pia mwenye namba yake ani PM maana Ninaplan kuwa na project naye
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Nauzungumzia huu wimbo wa Killy aliyomshirikisha Harmonize uitwao 'ni wewe'. Jamani, huu wimbo unachosababisha usitambe ni nini haswaa kama sio uchawi tu?!!!
Melody...
Habar wakuu nimekua katika hali yakujiuliza na kujaribu kutafakar kwanin wasanii wa bongo flava au maigizo wakiniona sehem katika mazingira ya face to face hustuka na kusimamana kujaribu...
Wake wa Waziri wa Maji, Mhe Jumaa Aweso kutoka kushoto Bi. Zainabu Abdallah na Kauthari Tarimo wakifuatilia mjadala wa hotuba ya Wizara ya Maji kwa mwaka wa fedha 2022/2023
Bi dada kaolewa kimya kimya na habari ikawekwa kwa Mange na picha juu.
Inasemekana kaolewa mke wa pili, na baba ndo muhusika wa wale watoto wawili wa mwisho wa bi dada.
Nani baba wa first born...
Ukiacha suala la dini yake kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja ila kumkaribisha mke mwenzio hadharani hivi ni ushujaa uliotukuka. Hongera bi Zainab kwa kukubali mwenzio nyumbani.
Na nyie...
Albam iliosubiriwa kwa hamu ya Nguli wa Hip Hop Kendrick Lamar imetoka rasmi na kuzua gumzo kubwa miongoni mwa mashabiki wa Hip Hop dunia
Kwa ufuatiliaji wangu mdogo nimeona watu wengi sana ni...
The ruler of Dubai and head of global racing giant Godolphin, 72, was hit with the half-a billion-pound settlement in a 73-page ruling published on Tuesday.
And as part of it, Princess Haya, 47...
Hiyo show ya legends wasaniii wa zamani ni a very good idea na list ni kubwa sana hadi inafurahisha ila ukweli ni kwamba hawa ndugu zetu wengi wao wamepoteza ramani vibaya mnooo
wanalewa kupita...
Naongea kama mmoja wa mashabiki na wapenz wa mziki wa Maua Sama ninaoamini kabsa Maua ndo msanii mwny kipaji zaid kuliko wengine Afrika Mashariki(hii ni pamoja na nchi zilizojiunga juzi kati),na...
Baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu tangu 2017 alipotoa album yake ya DAMN, Kendrick Lamar amerudi ameshatangaza ujio wake tena kwa kutangaza ujio wa album yake aliyoipa jina 'Mr. Morale & the Big...
Moja kwa Moja mi naanza na Lulu Elizabeth Michael picha zake nyingi unapata imagination kuwa ni mrefu kiasi lakini ukikutana nae kwa ule ufupi unakuwa disappointed 😞
Mwanamuziki wa Tanzania Diamond Platnumz amekosolewa mitandaoni kwa kutumia bendera yenye utata katika video ya wimbo wake mpya wa Gidi.
Bendera hiyo ni ya kundi la Shirikisho la majimbo ya...