Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Anasema yeye hayamuhusu mnalalamika sana ACHA AKAE KIMYA ,kwenye kava aliweka picha ya mwalimu nyerere hali iliyomuudhi sana mtoto wa mwalimu akamuamuru atoe hiyo picha kwenye cover maana baba...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Baada ya mchezaji mpira bwana Samatta ku posti twitter akizindua kampeni ya CocaCola akiwa kiwandani hapo, mashabiki kupitia ukurasa wake wa Twitter wamemshambulia kuhusu kiwango chake kwa...
5 Reactions
32 Replies
4K Views
Katika mambo ya kinywaji nyakati za mwanzo za utawala wa awamu ya tatu, Jeneral Twaha Ulimwengu alikuwa amekaa mahali akinywa katika kikao chake hicho alionekana kumlaumu sana Raisi wa wakati huo...
1 Reactions
94 Replies
16K Views
Tulizoea kuwaona hawa wawili wakiigiza comedy zao pamoja...lakini sasa hivh namuona Tin white yuko bize sana na Mkojani..kuna nini kati yao? Ilipendeza sana wakiwa vile pamoja Ringo na Tin White...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Tangu nimeanza kufuatilia mziki huu wa Kitanzania, Bongo fleva nimesikiliza nyimbo za wanamuziki wengi. Lakini huyu mwanamuziki Ana taste flani ukiwa unamsikiliza iko unique Sana. He knows how to...
29 Reactions
85 Replies
9K Views
CEO wa Wasafi, Diamond Platnumz amedai kuwa kitendo cha baadhi ya watangazaji na waandishi kushikilia kumzungumzia na kumuandika kwa Mambo mabaya, cha kujipotezea muda kwao. Kwenye exclusive...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
US actor Joe Lara, best known for playing Tarzan, is presumed dead after a plane crash in Tennessee. The 58-year-old is among seven people believed killed when a light aircraft crashed into a...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Asalaam alaikum ndugu zangu, habarini za usiku. Kwanza poleni na majukumu yenu ya siku nzima na Mungu awape nguvu na afya za kuwawezesha muamke mkiwa fit katika majukum yenu ya kujenga Taifa...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Wadau tuache malumbano ambayo hayana tija ebu tujivunie cha kwetu Diamond ni mwanetu. Kijana wetu mdogo wetu mtanzania mwenzetu ebu tujivunie vya kwetu tofauti zetu tuweke pembení. Hakuna mtu...
1 Reactions
13 Replies
975 Views
Channel ya Youtube ya msanii Ibraah wa Konde gang imefutwa (Terminated) inasemekana kuna vitu amekiuka ikiwemo copyright na wataalamu wa mitandao wanasema account ikishakuwa Terminated hakuna...
7 Reactions
65 Replies
8K Views
"Wakati Mzuri leo katika ofisi Ndogo za Chama na katibu wa NEC, Itika na Uenezi Mpya wa CCM ndugu Shaka Hamdu Shaka. Nimetumia wakati huo kumngata sikio juu ya matarajio yetu kwa chama na...
2 Reactions
29 Replies
4K Views
Mabinti wengi huwa tunajisahau kuweka mambo sawa mapema pale tunapojukuta tupo mikononi mwa hawa wazee Matajiri maana wengi mda wowote kukuacha mjane ni kitu cha kawaida. Ningekuwa Jaqy mapema...
60 Reactions
150 Replies
18K Views
Huyu Mama si ndiye aliyekua anamshutumu Hamisa kumpeleka mwanae kwa Rayvanny , Kajala huyu huyu alimpeleka Rayvanny polisi kisa anatembea na mwanae ambaye ni mwanafunzi, leo hii anamuachia tena...
8 Reactions
40 Replies
8K Views
Boomplay na Hitlab wametangaza Shindano la kuvumbua vipaji kidijitali kwa wasanii Chipukizi linalomshirikisha nyota wa muziki wa Marekani mwenye asili ya Senagali, Akon. Dar es Salaam, Tanzania...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Leo nimemmiss huyu mkaka, popote aliko ajue nimemmiss na tunamiss nyimbo zake nyingi tu. Sikupenda ufe Mangwea nilikua shabiki wako kufa jamani ulikua unanichanganya akili ukinichania mistari...
15 Reactions
77 Replies
12K Views
Msanii Emmanuel Eribariki Munis (Nay wa Mitego), amepata ajali ya bodaboda wakati anawahi kwenye Interview. Kwa sasa msanii huyo yupo katika Hospitali ya Kairuki Mikocheni akipatiwa matibabu na...
5 Reactions
75 Replies
9K Views
Kazaliwa Marekani Ana miaka 64 Ni muAdventist Ni mwandishi mzuri sana sio kwamba nampigia promo,hapana isipokuwa mahubiri yake yamenivutia Sana hasa katika program yake ya amazing facts show...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Habar Wana Jamii Forums Leo nimeona nijaribu kutoa wazo langu juu ya Mambo yanayoendelea Nchini kwetu juu ya bondia wetu Mzalendo Alie kataa kupeperusha bendera ya nchi nyingine ambazo ni nzuri...
28 Reactions
73 Replies
10K Views
Nataka tumzungumzie kidogo huyu fundi muziki kutoka WCB yaani Rayvanny aka Chui. Rayvanny ni msanii anaeujua muziki haswa na anaweza kuufanya muziki vile anavyotaka. Kipaji chake sio cha nchi...
16 Reactions
182 Replies
16K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…