Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Msanii wa kizazi kipya Diamond Platinumz sasa anamiliki gari aina ya land cruiser v8 mpya! Rekodi ambayo Haijawai kuvunjwa na msanii yeyote katika nchi hii! Ikumbukwe v8 ni gari la kifahari...
1 Reactions
171 Replies
44K Views
Jina lake halisi ni Lee Ji Eun na amezaliwa mwaka 1993 alitoa wimbo wake wa kwanza akiwa na miaka 15 tu na tangu hapo hakurudi nyuma hata sekunde. Watanzania wengi tulimtambua baada ya yeye...
4 Reactions
14 Replies
3K Views
Shoga kidawa nasikia yuko Zanzibar na sadala(domo), Sijui ndo wameenda kuoana au ku shoot video, wanataka tu kutupa presha hapa wambea mxieew
7 Reactions
20 Replies
4K Views
Ni wasanii wa bongo freva ambao ukiachilia mbali mond, kiba, konde. Wana wafuasi wengi Sana kwenye mitandao ya kijamii. Hiyo inaashilia ukubwa wao na ni kiashirio cha kwamba wanakubalika sana...
3 Reactions
32 Replies
5K Views
Rais wa nchi ya Marekani Joe Biden akiwa na familia yake Mei 22, 2021 wameondoka kutoka Ikulu ya White House kuelekea Camp David Jimboni Maryland kwa mapumziko. Mapema kabla Rais Biden...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Wakati sintofahamu ya uanafunzi wa mtoto mzur Paula bado ikiwa imepamba Moto , nyota wa Bongo Fleva anayeikamatilia YouTube. Kwa sasa Rayvanny mnyakyusa kupitia ukurasa wake wa Instagram amempost...
5 Reactions
210 Replies
19K Views
Whoever knows. Is that the case? Ila poa tu, maana hili tangazo lao jipya la SimBanking ni tamu kinoma. Sasa sijui ni yale maskendo yake ya dudu la yeye au vipi? Awe makini? Au mnasemaje wadau?
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Habarini Wana Jf Niende moja kwa moja kwenye topic, kiukweli label kuoperate sio Lele mama Kama wengi wao wanavyozania maana inahitaji moyo wa Chuma Kama alio nao Rayvanny na Diamond platinumz...
2 Reactions
29 Replies
4K Views
DAR ES SALAAM: MJANE wa aliyekuwa mfanyabishara bilionea Dk Reginald Abraham Mengi, Jacqueline Ntuyabaliwe ‘K-Lynn’ hana namna zaidi ya kupambana jino kwa jino kortini na watoto wengine wa Mengi...
11 Reactions
308 Replies
58K Views
Leo siku ya kutoa heshima za mwisho kwa Jemedari wetu JPM wilayani Chato, Baraka Mwakipesile, maarufu kama ‘Baraka Magufuli’ amepewa nafasi ya kuonyesha kile ambacho alikionyesha siku zote hata...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari za usiku wana JamiiForums hope wote ni wazima. Siku ya leo, masaa machache yaliyopita msanii kwa jina la Rajabu abdul A.K.A Harmonize ameachia wimbo wake uitwao "attitude "...
1 Reactions
47 Replies
7K Views
Nimejaribu kuutafakari, kuifuatilia na kuusikiliza WIMBO huu mpya wa Harmonize Ila kusema ukweli hamna kitu hapa tumepigwa. Dogo aendelee kujifunza mbinu kutoka kwa Mwalimu wake mkuu Diamond...
2 Reactions
125 Replies
13K Views
Sijui ni kwanini wcb wanachukua magenious wa muziki coz ukiangalia safu yote pale wanajua mziki Nimeangalia list nzima pale hakuna mbovu hata mmoja Nimeangalia Diamond Harmonize Mbosso...
1 Reactions
26 Replies
5K Views
The transfer of 2.25 million shares in the company, which makes the iconic John Deere tractors, was disclosed in a regulatory filing on Friday with the Securities Exchange Commission. The filing...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Kupitia ukurasa wake wa Instagram mtoto mzuri , mwenye umbo matata na mwenye asili ya kimamtoni Paula wa Kajala amethibitisha kuwa sasa yupo kwenye penzi zito na nyota wa bongo fleva ambaye pia...
0 Reactions
36 Replies
5K Views
Ukiangalia shoo za wasaniii wa bongo wakiwa stejini utakuta kuna vijitu vinaenda kuwatuza wasanii kwa kuwapatia hela na msanii utakuta anapokea au anamwagiwa kwa steji yake. Tofauti naiona kwa...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Dr. Louis Shika Kid amepokea sehemu kidogo ya mpunga wake $60m kama shilingi bilioni 130 na zaidi za madafu. Dr. Shika amesikika akisema ''Tutaelewana''. Sasa amehama makazi na sasa anaishi makazi...
6 Reactions
91 Replies
13K Views
Kwa hapa Tanzania wasanii hawa tungewafananisha na Nandy, Quick Rocca, Rommy Jones au Shilole. Kwenye futiboli tungeweza kuwaita viraka maana ukiachana na uigizaji wao mzuri pia wana uwezo mkubwa...
3 Reactions
4 Replies
5K Views
Habarini wanajamvi wenzangu. Bila kuzungusha Wala kupepesa macho niende moja kwa moja kwenye maada ya kuwa RAYVANNY ni Lulu ambayo hatutoipata Kama hatutaipa thamani inayostahili. Hii Ni...
4 Reactions
100 Replies
8K Views
Bodi ya wakurugenzi Microsoft inachunguza tuhuma za Bill Gates kutembea na mfanyakazi wa kampuni hiyo miongo miwili nyuma. ======= The board used an external law firm for a ‘thorough...
2 Reactions
48 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…