Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Siku Kama ya Leo mwaka 2015 mfanyabiasha maarufu mzee Mengi na mrembo Jackline Ntuyabaliwe walifunga ndoa na kubahatika kupata watoto. Wakitimiza miaka 5 kwenye ndoa wanandoa hao wamefunguka...
13 Reactions
194 Replies
34K Views
Kuna nyimbo Kama ile kaitoa na Vanessa mdee me and you na Kuna nyingine Kama ile tukutane Tena baadae na Kuna ile Yuko na alikiba inaitwa nai nai nyingi nazikubali Ni nyimbo za ujana wangu Kuna...
5 Reactions
21 Replies
3K Views
Kwa siku za hivi karibuni stori zilizozagaa mitandaoni na kwenye vyombo mbalimbali vya habari ni juu afya ya msanii wa Bongo Muvi, Wema Sepetu kukondeana na kuwa na muonekano tofauti aliozoeleka...
4 Reactions
63 Replies
10K Views
Habari, Jana msanii tajika sana nchini Tanzania, Afrika Mashariki na kati na pengine kuliko wote kusini mwa jangwa la Sahara Naseeb Abdul, maarufu kama Diamond Platnumz, alisaini dili kubwa na...
9 Reactions
64 Replies
10K Views
Hawa ndugu zangu wameanza kuja kwa kasi sana kum - support Diamond Platnumz haswaaa. Deal aliyoi-sign na Warner inazidi kuwafumbua watu. Swali ni: Je, kuna nini kinaendelea au ndo mabifu yamesha...
3 Reactions
37 Replies
6K Views
Huyu kiongozi wa hii huduma kwa kweli sauti yake inanibariki mno hasa kile kipindi chake mida ya saa saba mchana. Nasikia sasa hivi amekuwa mzee sana vijana ndo wanapiga kazi ya injili kwenye...
5 Reactions
73 Replies
10K Views
Mwenye taarifa zaid atujuze, hii couple sjui imepotelea wap, wakat fulan ilitukimbiza sana mtaani.....Ghafla bin vuu Barcka ze prince kafuta post zote instagram, Najma nae kafuta Picha zote akiwa...
1 Reactions
103 Replies
13K Views
Hayawi hayawi sasa yamekua! Hatimae Yule mmiliki wa makampuni ya IPP bwana Reginald Mengi amemchumbia aliewahi kuwa Miss Tanzania, Jacqueline Ntuyabaliwe(K-Lyin) Ilikua ni birthday ya bidada...
17 Reactions
246 Replies
72K Views
Kupitia ukurasa wake wa instagram diamond kawakashifu Forbes kutokana na list zinazosambaa mitandaoni zikionesha wasanii tajiri Afrika. Unawaponda forbes wakati hakuna mahali popote forbes...
4 Reactions
28 Replies
4K Views
Kila nikiangalia post zake najisikia kumchamba ila maskin nikaja kujua shostito nati kichwan zimekatika, she needs a mental check up kwa kweli, Diva kichwa chake sio kizima. Sijui anajikutaga...
6 Reactions
90 Replies
12K Views
Dogo ana kipaji kizur Sana , lakn sasa anakoelekea , sio poa baadhi ya reaction za mwili zinajengwa na mazoea , baada ya mda sitashangaa anakuwa na mambo ya kike kike...ajitahdi kubalance mambo...
3 Reactions
105 Replies
22K Views
Matt Damon Hopes The Ben Affleck And Jennifer Lopez Romance Rumours Are True: ‘I Love Them Both’ Becca Longmire 4 hrs ago Ben Affleck's good friend Matt Damon is now weighing in on those...
7 Reactions
102 Replies
6K Views
Habari Tena Wana JF: Naona harmonize anajitapa sana na kutaka kuuaminisha umankuwa yeye ninmkubwa kwa Rayvanny. Wayback wote walikuwa WCB na Rayvanny alivhukua BET harmonize akiwa WCB he ...
2 Reactions
41 Replies
6K Views
Msanii Diamond Platnumz, ameandika historia nyingine tena baada ya kutia saini mkataba na kampuni ya muziki ya Afrika Kusini, Warner Music. Mkataba huo mpya utahakikisha kuwa WCB Wasafi...
2 Reactions
11 Replies
4K Views
Hivi karibuni , video zimesambaa mitandaon,zikionyesha matukio ya violence baina ya rapper kutoka Africa kusini AKA na aliyekua mchumba wake Annele ambaye ni marehemu kwa sasa. Video hizo...
9 Reactions
62 Replies
9K Views
Video ya msanii Anjela wa konde music worldwide imefanya maajabu na kuonyesha kukubalika kwa haraka sana ambapo imefikisha zaidi ya views milioni 1 ndani ya saa 24. Mafanikio makubwa ndani ya...
5 Reactions
44 Replies
7K Views
Baada ya Vannyboy mtu mbaya kuachia "lisong" akiwa amemshirikisha mega star from Kongo Innos b , goma linalokwenda Kwa jina la "KELEBE"ambalo kwa sasa ndo habar ya mjini.... Goma Hilo lililogonga...
5 Reactions
27 Replies
4K Views
Habarini Wana Jf Kiukweli mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Kitendo hiki Cha Diamond platnumz kutoa mkono wa EID kwa mikoa mitatu kinaonesha maana kamili ya kuwa msanii Ni KIOO CHA JAMII...
4 Reactions
37 Replies
3K Views
Kwa kipindi cha miaka ya 90’s mpaka 20’s ilikuwa ili msanii uweze kutoboa lazima ujiunge kwenye kundi lolote la muziki na ndio maana kwa kipindi hicho idadi ya makundi ilikuwa kubwa na yalidumu...
31 Reactions
288 Replies
27K Views
Huyu comedian mwenye asili ya Ghana anaeishi Marekani na kufanya kazi zake za sanaa Nchini Us pia ameshiriki filamu ya Coming to America 2, huwa ananifurahisha sana jinsi anavyopenda kwao Ghana...
17 Reactions
62 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…