Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Msikieni huyu hapa chini... ....
1 Reactions
7 Replies
1K Views
MAMA wa mwanamitindo mwenye jina kubwa Bongo, Hamisa Mobeto, Shufaa Rutiginga ‘Mama Mobeto’, ameibuka na kusema kuwa aliuona umaarufu wa mwanaye mapema tangu alipokuwa na umri mdogo. Akizungumza...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Michelle Obama ametoa siri zake nyingi katika kusanyiko la matukio katika maisha yake kwenye kitabu chake cha "Becoming" Kwenye kitabu hicho, Michelle anasimulia mambo mengi kuhusu maisha yake...
4 Reactions
71 Replies
9K Views
Msanii wa kimataifa kitoka Nigeria,Mr.Flavour amethibitisha kuwa atakuwepo kwenye uzinduzi wa tamasha Konki la wasafi festival 2018 litakalofanyika kesho jumammosi Nov 24,Mtwara. akiongea kupitia...
4 Reactions
63 Replies
8K Views
baada ya fid kuwakandia kwenye tangazo la fiesta jamaa nao wametupa jiwe gizani
5 Reactions
63 Replies
16K Views
Kwa kumbukumbu zangu Efm huwa wanamatamasha mawili KOMAA CONCERT, na MZIKI MNENE, wamefanya kadri ya uwezo wao na mapokeo ni mazuri hasa ukipelekea matamasha yao ni bure kabisa, hawa jamaa...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Tamasha la wasafi festival limefanikiwa Kwa kiwango cha juu.hi inatokana kuwa Na wasanii wenye mvuto Na ushawishi kwenye jamii . Pia artists walio kwenye record label ya wasafi wanajitahidi ku...
1 Reactions
31 Replies
6K Views
Tunajua Joseph Kusaga yupo karibu sana na Diamond (Diamond Karanga, Wasafi media). Pia tunasikia Clouds Media wana beef na Wasafi. Kumbuka Kusaga ni Mkurugenzi wa Clouds na Ruge ni mkurugenzi wa...
0 Reactions
38 Replies
9K Views
Stori: Erick Evarist na Imelda Mtema NYOTA wa Nyimbo za Injili Bongo, Rose Mhando (pichani)amefungukia eneo fupi la maisha yake magumu ambapo alisema amewahi kutekwa kwa bastola na mwanaume...
0 Reactions
35 Replies
30K Views
Baada ya wao kugundua vyuma vimekaza wakaja na kauli mbiu ya "local artists", wakijinasibu kua sasa wamezamilia kuifanya bongo fleva kua ya kimataifa na uzalendo kwanza, sasa matokeo yake yamekua...
25 Reactions
58 Replies
10K Views
Daaah nimesikitika sana baada kuziona hizi taarifa. Hivi madaktari wa Tanzania wanatumia aina gani ya vipimo vipimo vyao ni vya kubahatisha sana. Nakumbuka hata kwa ommidimpozi walituambia...
13 Reactions
102 Replies
13K Views
Kuna time ilifika hakuna msanii anayeangaliwa zaidi ya diamond na alikiba... Nakumbuka Barnaba aliwahi kusikika akisema imefikia wakati hawapewi nafasi ya kusikilizwa. Pia nilimsikia nay wa...
2 Reactions
32 Replies
9K Views
Hivi nyiye mnajuwa alikiba anafaidi sana bifu kuliko Diamond mana asingekuwepo diamond alikiba angekuwa ashapoteya ... sasa hili bifu la Clouds na Wcb wasafi limemuyumbisha Alikiba alikiba...
1 Reactions
2 Replies
783 Views
Hii imevujaa baada ya Adam Mchomvu kulopoka kabla ya tangazo rasmi kutoka afu wakajifanya kupotezea ila ndio ivo kesharopoka.
5 Reactions
157 Replies
21K Views
Msanii mkongwe na asiyesahaulika katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya dudu baya amekivua nguo kituo cha clouds fm kwa kuwaita ni wanafki wakubwa, wanyonyaji wa wasanii, na wenye kuharibia...
23 Reactions
223 Replies
23K Views
Fid Q uwezo wako unashuka sana, Fid Q wasasa si Fid Q wa miaka michache iliyopita Fid Q naheshimu sana uwezo wako wa kuandika japo flow yako si nzuri sana. Kuhusu kuandika Joh Makini hakwambii...
2 Reactions
46 Replies
8K Views
MSANII Naseeb Abdul (Diamond) leo anashikiliwa na polisi, siku moja tu baada Meneja wake Babu Tale kuhojiwa na kulala mahabusu kuhusiana na matumizi ya mavazi ya kijeshi katika onyesho la Fiesta...
3 Reactions
188 Replies
53K Views
Despite the profanities these guys are making beaucoup sense. For real, $55,000 for child support? Please..... YouTube - Broadcast Yourself.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Chris Brown, R&b crooner mwenyewe kiboko ya wabana pua ndani ya Dar fiesta Noma sana, triple threat he is a super dancer great singer and great artist jamaa mchoraji hatari.
0 Reactions
31 Replies
8K Views
Super business woman, Jokate Mwegelo amemuandikia AliKiba ujumbe mzuri ambao amedai umetoka kwenye sakafu ya moyo wake. Mwanamitindo huyo ambaye yupo karibu zaidi na mkali huyo wa wimbo ‘Aje’...
14 Reactions
91 Replies
14K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…