Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Huyu Mzee ana potential kubwa, mm nataka nimtumie kwenye matangazo ya bidhaa zangu Any information pls let me know
4 Reactions
15 Replies
3K Views
Roma Amshilikisha Dr. Luis Shika Kwenye Nyimbo Yake Mpya Ebwana ndio Hivi Shika akiendelea kuwashika kweli Dada Zetu Hii Nyimbo Ni Mpywa
5 Reactions
42 Replies
13K Views
Ni kweli Nyashinski ameanza kulewa umaarufu? Hiko ndio kitu kinachoonekana kwa msanii huyo kutoka kwa mashabiki na wadau wa muziki wa nchini Kenya. Tuhuma hizo zimeibuka kupitia gazeti maarufu...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Nasubiri tu Mange aamke, leo utakula kichambo, tutajua siri zako zote tutazijua.
5 Reactions
50 Replies
9K Views
Wizkid amefanikiwa kupata mtoto wa 3 wa kiume aliezaa ma manager wake anaesimamia kazi zake upande wa ulaya na marekani Jada pallock. Wizkid alikuwa na watoto 2 wakiume na mama tofauti huyu wa...
7 Reactions
47 Replies
9K Views
Habari za mchana wana Jf , Mimi binafsi ni shabiki mkubwa wa nyimbo za dogo aslay ukweli ni kwamba dogo anajitahidi ila kilonifanya niandike hii thread kuna wimbo wa Aslay umetoka sijui kautoa...
11 Reactions
325 Replies
54K Views
Wale mliokuwa mkijiuliza juu ya Diamond kijivinjari na Hamissa katika jiji LA Dubai wiki iliyopita nadhani mnaelekea kupata majibu ya maswali yenu! Chanzo: Ukurasa wa Instagram wa Clouds
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kundi la wasanii wa muziki wa Tanzania kutoka visiwani Zanzibar, Off Side Trick, wamesababisha kufungwa kwa tamasha la utamaduni la Lamu huko Mombasa nchini Kenya, baada ya kucheza mtindo usiofaa...
0 Reactions
17 Replies
7K Views
Kama mnakumbuka mwaka jana mida kama hii kulikuwa na kimuhe muhe cha tuzo za eatv, lakin kwa mwaka huu mpk mida hii sijasikia fununu zozote kuhusu hizi tuzo, au mwaka huu hazipo.?
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Meneja wa msanii maarufu Afrika Mashariki Diamond Platnumz, Sallam aliohojiwa kama kuna nyimbo yeyote itatolewa karibuni. Akasema kuna collabo ya diamond na wizkid ila hakutaja jina la wimbo. Na...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Hivi jamani mbona katika tafuta tafuta yangu, sijaona hata picha za moshi za hilo jengo likiungua, pale si kuna CCTV camera (refer tukio la makonda) , ila nina taarifa sio rasmi lkn inasemekana...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Mtanange huu ulianza hapo jana pale ambapo TvE/Efm walipotoa tangazo la Ssebo kuzungumza leo na Clouds nao wakapandisha Ruge kuzungumza muda uleule wa Watani wao wa Jadi! Nimepata butwaa kusikia...
29 Reactions
259 Replies
26K Views
Wakuu jana ilikua ni siku ya kizaliwa ya msanii kutoka kundi lililofahamika kama TMK 'Amani Temba' maarufu kama Mh Temba,katika kuufahamisha umma kuhusu siku yake hiyo pendwa alisikika kwenye...
7 Reactions
67 Replies
22K Views
Jana Hamisaa alionekana ndani ya Pipa from Dubai to Tanzania tayari kwa uzinduI wa filamu aliyoshiriki kuigiza ya Zero P. Hivi kwa sasa Diamond yuko Pande zipi za dunia? Naomba nijibiwe jamani
1 Reactions
128 Replies
19K Views
Katika hili la mzazi wake wa kiume mimi binafsi limenigusa hasa kwa imani yangu ya dini. Siwezi kuhukumu moja kwa moja kwa maana sijui chanzo cha ugomvi wao wala status yao kwa sasa na pia MIMI SI...
13 Reactions
130 Replies
13K Views
Wameimba live wakiwa wanahojiwa asubuhi kwenye kipindi clouds fm. Vijana wanajua kusema kweli
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Salamu. Hivi hili neno Kipusa siku hizi limebadilika maana yake?. Nifahamuvyo mimi nifahamuvyo maana yake kwa mujibu wa TUKI ni: .kipusa nm vi- [ki-/vi-] rhino horn. 2 (sio rasmi) beautiful...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Watu wanasemaga Hamisa ni mnafiki nikajua wanamsingizia, jana ndo nimeamini, huu ukaribu wa Hamisa na mama Kanumba umeanza lini? Hamisa alimpost Lulu akiwa jela na kumpa pole, leo anaonekana na...
6 Reactions
51 Replies
11K Views
Ukweli wasanii wengi ni feki kuanzia lifestyle zao, uvaaji, maadili yao na pia muziki wao wa kuiga nchi za nje na inafikia hatua wanaiba tune,beat hadi nyimbo nzima wanaibadili kwa kiswahili ili...
0 Reactions
2 Replies
905 Views
MICHORO ya mwilini inayofahamika kama ‘Tattoo’ imekuwa ikitumiwa na watu mbalimbali katika kuhifadhi kumbukumbu ya vitu ambavyo mchorwaji anakuwa amavidhamiria kuviweka kwenye mwili wake. Tattoo...
2 Reactions
16 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…