Haya ndio maneno aliyoyaandika Mange katika ukurasa wake wa instagram
By mangekimambi_ Breaking News Wema Sepetu na Mama yake wanarudi CCM very soon.......Rudini nyuma kuna posti niliweka Wema...
Kusema kweli kajua kunoga, hivi alikua anafanya makusudi au alikua anategea kiki? Kusema kweli page ya wema ilikua haina mvuto, especially picha anazopost ukilinganisha na mastaa wengine kama...
Malkia wa filamu nchini, Wema Sepetu amemwambia muigizaji mwenzake wa filamu ambaye ni kada wa CCM, Steve Nyerere kwamba hana mpango wa kurudi tena CCM.
Wema amesema hayo baada ya kuona ujumbe wa...
Wana JF,
Waswahili wanasema bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi, ndio hivyo tena Irene vitu maalum vimwemwangukia, sipati picha itakuwaje huko bungeni. Tunaomsupport tunamwombea kila la heri...
Habari zenu wa Jf
Jana usiku mwanamuziki wa kizazi kipya bwana Nasib bin Abdul Juma ameachia wimbo wake unakwenda kwa jina la Sikomi huko kwenye mtandao wa youtube.
Lakini cha kustaajabisha...
Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba, Alhamisi hii katika kipindi cha Clouds360, amesema amepunguza wasanii 20 katika list ya wasanii ambao walipanga kuwepo...
Wambea wa mjini wote mpaka sasa wanaumiza kichwa kuhusu ndoa inayosemakana kati ya Janjaro na Irene Uwoya.
Mpaka sasa hakuna uthibitisho wowote uliopatikana ambao unaonesha kwa namna moja au...
Jamani huyu Dada kweli ni African Princess, anarangi na mwonekano mzuri kweli..
she is so cute.
na sauti yake ndio usiseme, yaan kila ninapo msikiliza moyo unajaa furaha kweli.
Anakafigure flani...
Kuna jamaa anaitwa Rado. Kwa majigambo anaonesha ni artist katika sanaa nzima ya Bongo movie.
Mdau huyu nilimsika kwenye tv(sikumbuki tv gani na kipindi gani) akimueleza presenter kua wasanii...
habari wadau..
nikiifatilia WCB kwa miaka mingi nimegundua diamond ndio mfanyakazi bora... yeye ni bosi lakini anaimba vizuri kuliko wafanyakazi wake...
kwenye kucheza kwenye show yeye ndie...
akihojiwa E. A Radio mapema Leo Jumamosi Nov 25.2017
The king of vocalist Melody Christian Bella Obama.
amesema yupo hatua ya mwisho kuachana na uraia wa nchi yake Kongo DRS ya Zamani na...
Kati ya hawa wasanii solo wapya ubongoflevani yaani Nandy na Becka flavour, nani ni mkali, nani ana hit kali, nandy ana track ya gusagusa, wasikudanganye, beka ana libebe na sarafina.
Toa maoni
Hatimaye imethibitishwa kuwa malkia wa muziki wa Bongo Flava, Lady Jaydee amesaini makataba na kampuni mpya ya Taurus Musik ambayo itakuwa inasimamia kazi zake.
Jaydee amefanikiwa kusaini mkataba...
Hii ni baada ya kutembelea kituo cha utangazaji cha clouds media na kuwapa pole kwa tukio lililowapata jana, kabla ya kuondoka akawaambia kua ameongeza saa moja zaidi hivyo badala ya saa sita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.