Katika uongozi wa awamu ya nne tulikuwa na wasanii mbalimbali waliokuwa wanatoa nyimbo za kutufariji wakati wa shida na mihangaiko mfano Roma mkatoliki,Ney wa Mitego na wengine wengi tu..Vipi wako...
I am Kenyan na naipenda Tanzania sana. Kila siku nasikitika na lifestyle ya watanzania. Wakiamka asbuhi insta kusoma udaku na kupesti jamii forums. Kenya we work hard, naamka asbuhi naelekea...
Ma bibi na bwana nawalika kuja kuangalia video ya mziki mzuri na mtamu toka Asley uitwao Pusha. Hii ndo bongo fleva kuanzia uimbaji hadi beat.
Sent using Jamii Forums mobile app
Teh teh teh teh teh teh teh!
Huyu jama amebaki anaangalia aimbe staili gani ili walau aendelee kubaki kwenye headline.
Muziki mtamu tuliouzoe kutoka kwa diamond miaka ya 2010, 2011...
Kama Diamond alimchukia Ali Kiba pamoja na kuwa Kiba alijulikana kama msanii ambaye Muziki wake ni wa humuhumu nchini yaani hauna hadhi ya kimataifa. Itakuwa vipi kwa kitendo cha Kiba kuanza...
Malkia wa mitandao ya kijamii nchini Tanzania mange kimambi amemjia juu diamond platnumz juu ya kumdhulumu mjane malipo ya gari alonunua
Kumbe diamond karanga sio za dai wala perfume sio zake...
Kundi la WCB wasafi wameng'ara kwenye tuzo za
African Enternaiment Awards USA(Marekani) kama ifuatavyo.
•Best Manager of the year-Babu tale
•Best Male Artist of the year-Diamond Platnumz...
Msanii wa Hip Hop Fid Q amedai msanii Omy Dimpoz amefanya jambo la hovyo sana kiasi kwamba hadi sasa haupendi wimbo wake wa fresh
Ommy Dimpoz alitupia picha akiwa na mama Diamond na kuandika...
Ni baada ya matusi ya Mond kwenda kwa Mobeto akimuita bitch!Naona vijana wakaingia mzigoni kufukua makaburi na hatimaye wakaja na kitu kujibu mapigo ya kauli chafu ya Mondi!
Wao wakaamua kurusha...
Bondia mwenye uwezo wa hali ya juu ajulikanaye kama Conor MacGregor au Notorious kama anavyojulikana na mashabiki aliyemshawishi Floyd Mayweather "Unbeaten man" kutoka mafichoni alikokuwa na...
Dar es Salaam. Wasanii maarufu wa muziki wa kizazi kipya nchini, Hamisi Mwinyijuma maarufu kwa jina la MwanaFA na Ambwene Yesaya maarufu kama AY wamezidi kuikaba koo kampuni ya huduma za simu za...
Ni vigumu kuingia na kutamba katika Tasnia ya muziki nchini Tanzania, lakini inadaiwa kuwa ni vigumu zaidi kwa wanamuziki wanawake hususani wasichana.
Subira Mwikwabi ambaye ameanza kutamba miaka...
Wadau,
Diamond amefanya Remix ya wimbo wa Fid Q wa Fresh kwa kuingiza verse ya rap inayoonekana kamlenga Ally Kiba kutokana na maneno yaliyokuwemo kwenye wimbo huo (usikilize hapa chini). Remix...
Zari mzuri bana,ila wadada na wanawake wengi wanamchukia,wivu au stress ya maisha wanayoyapitia?
Kama ni suala la kuhongwa vinono na mond jibu hili hapa
Nimeamini ule usemi "adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake"
We jiulize ushawahi kumuona mwanaume anajisifia amezaa na mwanamke wa fulani?unajua kwa sababu gani ?simply ni aibu na inashusha utu...
by Tyler Johnson at August 24, 2017 4:15 pm. Katy Perry and Orlando Bloom broke up after just a few months of dating.
They announced the split in a surprisingly cordial joint statement that...
Tunda unazidi ku shine na uzuri wako unakuwa mara mbili zaidi ya jana kila kukicha
Ni ukweli usiopingika kuwa wewe ndiye Cleopatra tuliokuwa tunakusubiri kwa muda mrefu baada ya yule Cleopatra...
Muda sio mrefu Ommy Dimpoz, alimjibu Diamond baada ya Diamond kuimba verse nyingine ya pili.
Ommy alipost picha aliyopiga na Mama yake mzazi wa Diamond akichukua uhusika wa baba yake Diamond...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.