Mafahali wawili ndani ya kiwanda cha muziki wa hip hop bongo, namzunguzia dogo janja na young killer msodoki, hivi karibuni wameingia kwenye vita ya maneno mitandaoni kisa kikidaiwa kuwa ni gari...
LIZABETH Michael ‘Lulu’amefunguka kuwa anajivunia uamuzi wake wa kutojihusisha na siasa maana amepata amani ya moyo kuliko wasanii wenzake ambao kwa sasa wapo kwenye malumbano ya kisiasa.
Mrembo...
Baada ya kuweka wazi mahusiano yake na tajiri mmoja wa Nigeria aishie Dubai, socialite maarufu East Africa Vera Sidika anaendelea kuwa gumzo kwenye social networks.
Kwenye pita pita yangu...
Pamoja na kupata mafanikio makubwa kwenye muziki msanii number moja Afrika D. Platnumz Dangote pia amerudisha kwa jamii baada ya kutoa misaada mbalimbali na sasa atawasaidia waathirika wa mafuriko...
Msanii maarufu wa bongo movie, Wema Sepetu, Ameonywa kukaa mbali na msanii mwenzie Yobnesh Yusuph Maarufu kama Batuli, kwani mwanamke huyo ni moto wa kuotea mbali,unaambiwa bongo movie nzima...
Msanii wa filamu Aunt Ezekiel amefunguka kwa kudai kuwa ameshawahi kutoa mimba kadhaa lakini hajui ni ngapi.
Muigizaji huyo ambaye ni mama wa mtoto mmoja aitwae Cookie, akijibu swali la shabiki...
Kuna maswali yaliulizwa humu kuhusu mume wa makamu wa raisi ni nani yakajibiwa vizuri na uzi watu waliujadili hadi basi picha zikaonyweshwa za mumewe vizuri na majibu murua yakatolewa.
Na mimi...
Khery Sameer Rajab a.k.a MR BLUE au KABAYSER ni moja wa Wanamuziki bora kabisa wa muda wote katika Muziki wa kizazi kipya.
Tumeshuhudia Wasanii wengi wanaingia kwenye Game na kupotea lakini yeye...
Hawa watu ni ndugu wa Mondi. Je, atawawekea dhamana baada ya kuwa na tuhuma za ngada? Au atajiweka mbali ili asiharibu image yake?
[emoji78] [emoji78] [emoji78] [emoji78] [emoji78]
======...
Hii ndio picha ya wolper inayoongoza kupostiwa kwenye mitandao ya kijamii kama instagram na fb, picha hii inaonekana kuwavutia wengi zaidi ,salute zimfikie wolper wereva.... I phone 7 plus wereva...
The highest & the lowest za kiburudani na ubuyu kibongobongo kwa mwaka mzima wa 2016.
Kwa kuwa tumefikia mwisho wa mwaka 2016 mimi kama mdau na shabiki mkubwa wa burudani na masuala yetu yale ya...
MWANADAFADA mkali wa Bongo Movies, Yobnesh Yusuph Batuli amefunguka kuwa kwa sasa yupo tayari kuigiza nusu utupu kwa sinema za nje ya nchi.
Akipiga stori mbili-tatu na kona hii, Batuli...
Ni takribani wiki nzima sasa nasikiliza wimbo mmoja tu,Upepo cover aliyoifanya Ray C.
Baada ya kusikiliza version hii ya Ray C nikajaribu kusikiliza original version aliyofanya Rachel! Sikutumia...
Watu wanajua kutumia pesa mjini, tunda usisahau kupanga kwako, nasikia unakaa kwa shoga ako davtor, mwenzio kapangiwa na daktari na wewe tafuta kwako bhana, sio kila siku unadandia nyumba za watu...
Humu kila kona utasikia sijui mie nimekaa Masaki sijui nimesoma Shebby...nadhani its about time sisi watu wa Uswazi tukajibu..mimi nadhani hii iwe yetu sisi watu wa Uswazi tukapeana nyeti tena kwa...
Ni kama vile tokea atoke Kolokoroni pale Central Police huyu Msanii TID amezidi kuwa ni kama Mtu aliyechanganyikiwa. Nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu mkubwa sana interviews zake katika Media na...
Anadai bado ana ndoto za kuwa mbunge na kilichomkwamisha ni Magufuli kupata asilimia chache za kura za urais ndio maana akashindwa, Magufuli angepata kura nyingi basi naye angekuwa mbunge wa viti...