Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Hahahahahahaha.......Usishangae kwanini ninacheka! Lakini Hata wewe ukifahamu kwa nini ninacheka utaungana Na Mimi kucheka! kama ulikuwa hujui Dar Leo Kuna vita ya chini chini inaendelea Katika...
1 Reactions
29 Replies
4K Views
Mara nyingi tumezoea kuona list za wasanii wakubwa wakitajwa kuingiza pesa nyingi zaidi Afrika, wiki hii imetoka list iliyoandikwa naeDaily kupitia ripota Brian Okoth ambayo imewataja wasanii...
2 Reactions
196 Replies
60K Views
Wimbo unaitwa koku bonge moja la jam q chillah KABADILIKA SANA namuona level zingne kabisa
6 Reactions
37 Replies
6K Views
Baada ya shule za South Africa kufunga , Tanzania sweetheart Tiffah Dangote amefanya vizuri katika mitihani yake ya mwisho. Katika Darasa la Tiffah lenye wanafunzi 43 kutoka mataifa 41 mtoto huyo...
25 Reactions
86 Replies
10K Views
Licha ya watu kupga majungu lakini ukweri upo pale pale king Alikiba aka mzee wa sauti za hatari zilizompagawisha R.KELLY na NEYO amezidi kufanya vyema afrika kwa mwaka huu 2016.Pongezi ziende...
4 Reactions
67 Replies
6K Views
Wamedai wamesikia bifu hilo ila sio rasmi ila kama wakipata taarifa rasmi itabidi wakae na mameneja wao
0 Reactions
32 Replies
5K Views
HAJAWAHI kukosea, pamoja na ukongwe wake kwenye muziki wa bongo flavor lakini anawazidi wakongwe wenzie wengi. Msanii huyu hakuna wakati ametoa wimbo ukashindwa kukamata na kupendwa na wadau wa...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Wasalam kwenu nyote, Kwanza namshukuru Allah walau kwa kuniwezesha kuandika chochote hapa, muda huu ni ushauri kwa mwanamuziki Diamond Platinumz napenda kumshauri aache kutumia Jina Dangote kwani...
5 Reactions
54 Replies
8K Views
inakuaje wadau??,mazee huyu dogo amenivutia sana hasa alivyoimba lile dude lake jipya na p.n.c chini ya marco challi,mnaonaje progress yake atatisha hapo mbeleni maana yake kuna muda alivyokuwa...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari za wikiendi Jana tarehe 9/12/2016 kwenye kipindi cha FNL-FRIDAY NIGHT LIVE kwa mara ya kwanza nilikiangalia mwanzo mpaka mwisho. sasa sikujua kama ndo tabia au ndo yashakua mazoea...
4 Reactions
45 Replies
7K Views
Kuzuka kwa msemo wa kununua views YouTube na kushangiliwa na watu ikiwemo wenye akili timamu ni kuonyesha jinsi gani watanzania tuna uwezo finyu wa kufikiri au tunaendeshwa na matukio na mapenzi...
3 Reactions
50 Replies
6K Views
Heshima kwenu Wakuu. Sina mengi sana , lakini naomba team mbili Hapo juu tuliokwaruzana na kuvunjiana heshima tufike Hapa tuombana msamaha na tuanze kutoa michango ya kuwajenga wasanii wetu kwa...
2 Reactions
51 Replies
4K Views
Darassa amedai mwanzo alikuwa akitoa nyimbo zenye ujumbe lakini zilikuwa zikionekana za kawaida. Muimbaji huyo ameliambia gazeti la Mtanzania kuwa baada ya kushindwa kufanya vizuri kwenye...
5 Reactions
68 Replies
11K Views
Kwa upande wangu ni izi hapa 1: kama utanipenda - darasa 2: ibaki story - mavoko 3: lupela - alikiba Mpaka kesho izi nyimbo kwangu kwa mwaka huu ndio ze best na sichok kuzisikiliza
3 Reactions
58 Replies
4K Views
Bwana Yesu asifiwe!!! Watu wengi wameshindwa kupambanua na hatimaye kutengeneza Upinzani kwa wasanii wawili A. Kiba na D. Platinum kana kwamba ndo wasanii maalum na ndo wenye vipawa vya kuimba...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Baada ya kutoka na nyimbo zake kama vile mabinti wa kitanga, Misosi nitoke vipi na kisha kuzimika ghafla, hatimaye Bwana Misosi amerudi upya na Wimbo wake Makofi kwa Magufuli. Ndani ya wimbo huu...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Moja kwa moja kutoka Pritoria tupo hapa nje tunamsubiri Chibu Junior. Tumuombe MUNGU ATOKE SALAMA. MUNGU AWABARIKI MAMA NA MTOTO. ------ Updates ------- Hatimaye Zari na Diamond wamefanikiwa...
25 Reactions
402 Replies
85K Views
Kama Ni kweli basi Huyu jamaa bado sumu Ya cocaine haijamuisha Kichwani mwake, Kwakweli Hizi kiki zinawapeleka pabaya wasanii wetu, Manake kila kitu kinageuzwa fursa hatakama hakistahili. Max ni...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…