Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Msanii wa siku nyingi wa bongo movie Jb amestaafu kuigiza bongo movie, hii imesikitisha sana wadau wa sanaa, kuanzia mashabiki hadi wasanii wenzake..
3 Reactions
47 Replies
7K Views
Hongereni kwa kumaliza tofauti zenu.
3 Reactions
159 Replies
17K Views
2 Reactions
41 Replies
5K Views
Hiyo photo mtajuana Eric omond mwenyewe. Sasa haya uislamu yanakujaje?
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Hivi nini kinaendelea? ni mental issues au kuna mengine? nimeona kuna watu wanahusisha na Illuminati.... nimeona clip ya DMX.... Kanye West ana tatizo gani hasa? Paulo Sergio De Souz Nyani...
9 Reactions
165 Replies
23K Views
Habari wakuu. Kwa waliopata nafasi ya kucheki video mpya ya msanii wa kike kutoka nigeria Chidinma na wimbo wake wa "Fallen in love" watakubaliana namimi katika hili. Huu wimbo wa bimdada...
6 Reactions
47 Replies
42K Views
Najitaidi kupenda na kumlike kwakuwa anatuwakilisha out ila dah labda moyo una kasoro Eeeeh jamani nisiwe muongo
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Picha ya cover la Vibe Magazine, lililotoka siku ya jana, imeonekana kutengeneza gumzo miongoni mwa raia kibao, hasa kutokana na suruali na viatu alivyokuwa amevaa msanii Ommy Dimpoz. watu wengi...
2 Reactions
124 Replies
22K Views
Msanii Irene Uwoya amesema sasa hivi haigizi tena movie kwa kuwa soko lake limedoda na badala yake atakuwa anacheza series kwani ndio zinazouza Ila amedai kuna movie walizocheza zamani zinakuwa...
1 Reactions
59 Replies
8K Views
Baada ya kusikia kijana kapewa dhamana nikadhani itakuw vyema dogo atakuwa amekuw sasa kutokan na balaa lililomkuta na post zake insta sasa leo nafungua insta nakuta ni kama ameweuka sasa matusi...
1 Reactions
45 Replies
5K Views
Tunajua wimbo wa Bado wa Harmonize na Diamond umetoka kitambo kidogo na video yake ilifanyikia South. Nachojiuliza ilikuwaje Ali Kiba na Ommy Dimpoz wakaamua nao wakafanyie video eneo lile lile...
1 Reactions
26 Replies
7K Views
Msanii Dully sykes alimind watangazaji waliokuwa wanamhoji baada ya kumuuliza kuhusu bifu la diamond na ommy dimpoz Dully amesema hawezi kujibu hilo sababu huo ni u-shilawadu na yeye hapendi na...
1 Reactions
21 Replies
6K Views
Who doesn't know diamond!? Who Every body does!! Diamond has proved himself to be most brilliant Artist over all African artist from Tz.I know you could say Nigerian ,For Nigerian the musical...
2 Reactions
16 Replies
6K Views
Wamefukuzwa bila kuoneshwa maeneo yakufanyia biashira zao hivi selekali mnatuonaje sisi wenye hali ya chini?
0 Reactions
3 Replies
680 Views
Navy Kenzo wameachua kazi mpya huku wakiamini kazi hii itatoboa hadi Marekani. Video ya nyimbo hii ndo wametumia gharama kubwa kuliko nyimbo zao zote.
9 Reactions
94 Replies
14K Views
Baada ya wiki chache kupita toka msanii wa bongo fleva, ommy dimpozi, kupost picha kwenye ukurusa wake wa instagram, ikimuonyesha staa huyo akiwa amevaa suruali inayoonyesha kitu chenye muonekano...
1 Reactions
86 Replies
27K Views
Msanii Young Dee amedai Tunda ni mpenzi wake na hawajawahi kuachana, pia amesema anampga ushauri wa kumbadilisha kwenye maisha ndio maana anapagawa naye sana
0 Reactions
18 Replies
7K Views
Naskia man Fongo anamla masogange Agnes . Et kweli wadau?
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari ya mjini kwa sasa ni kuwa hitmaker wa ngoma ya mziki na too much Darasa yupo mbioni kutia wino ndani ya WCB Si huyo tu pia mwanadada mwenye sauti inayomtoa nyoka pangoni ambaye pia ni...
3 Reactions
75 Replies
17K Views
Back
Top Bottom