Katika pita pita zangu huko nimekutana na hii
Male, 39 years old | Never Married
Dar Es Salaam, Dar Es Salaam
New in here, but someone special is needed
Am looking for someone who is me, but in...
Ni Bony Wilfried mchezaji wa Manchester City anayecheza kwa mkopo katika club ya Stoke City. Angalia hii clip ya Instagram kutoka kwenye verified account yake.
Wanajamvi wasalaam,
Baada ya Ommary Nyemo kumtuhumu wazi wazi Nassibu Abduli kuwa ana nunua views na tunzo bila kuwa na uthibitisho na bila aibu Ommary Nyemo ili kuwathibitishia watu kuwa kuwa...
Tunda amechoka kuulizwa maswali kuhusiana na kuonekana kwenye video ya Diamond ya wimbo Salome aliomshirikisha Ray Vanny. Ni kwasababu anajiuliza, iweje ameshaonekana kwenye video takriban 10...
Nani mkali, Ali Kiba au Diamond?
Kuna mashabiki vindakindaki ukiwachokoza kwenye mada hiyo, wanaweza kurusha ngumi kwa kubishana. Wasanii hao wawili wameweza kutengeneza Simba na Yanga yao. Ni...
Diamond hafanyi tena kazi na Bob Junior, lakini hawezi kusahau ukweli kuwa producer huyo wa Sharobaro Records ndiye aliyemfungulia njia ya mafanikio kimuziki. Akizungumza kwenye kipindi cha Ngaz...
Wakuu salaam kwenu,
Yafuatayo ni majina na nyimbo za wasanii chipukizi waliopenya kushindania tuzo za EATV AWARDS zitakazotolewa tarehe 10/12/2016 jijini Dar es salaam,
:Rashid Said (Bright)...
Inakuaje wanaJF,
Katika pitapita zangu Twitter nimekumbana na Tweet moja ya Mwanadada Mwamvita Makamba akidai yeye kama Mwekezaji binafsi katika tasnia ya Fashion ametapeliwa na Mbunifu wa Suti...
Diamond anawashinda wasanii wengi kwa ubunifu na matumizi ya fedha kukuza jina lake.Kwa sisi watu wenye uwezo wa juu kwenye utambuzi ni hivi.
1.Diamond anamtumia Neyo kutangaza jina lake...
Mwigizaji huyo wa comedi alidai hivyo alipokuwa akihojiwa na e news ya eatv, amesema hana kipaji cha kuchekesha bali kukopi nyimbo za watu na watanzania ni wajinga ndio maana wanamkubali mtu kama...
Nikitazama video za emtee mfano roll up na hii mpya sijui inaitwaje naona kali kuliko video za wasanii wetu.
Hata video ya divido ft uhuru - sound iko safi.
Sisi zetu ka zinafanana hawa S.A...
Diamond Platnumz jumanne hii amesababisha tafrani kwenye mtandao wa Instagram baada ya kupiga stunt kama ya The Game na Kevin Hart, kwa kupost selfie akiwa amevalia kiboxer cheusi.
Kwenye picha...
Mdada ame speak a lot of sense! Nimemuelewa na ninaunga mkono hoja yake.
Jamani acheni kusikiliza maneno. Cybercrime sijui cyberbill bado haijapitishwa, JK ameichunia anasikilizia...
Naimani humu kuna wambea wa kutosha kabisa kunipatia habari za le Supa star Lady jaydee!!
Mimi ni shabiki mkubwa wa huyu madame, na nimeona kwa sasa akituintrodyuzi kinga'ast chake kipya, sasa...
Wakuu popote mtakapomuona huyu mtu mfikishieni hizi salamu za dhati.
Salamu zenyewe ni kwamba anakubalika sana Mozambique yani kuliko hata Diamond anavyokubalika bongo.
Najua yuko kwenye mawe...
Mimi nilikua shabiki msikilizaji mzuri sana wa Power Breakfast ya Clouds Fm nakiri kiukweli bwana Gerald Hando ndiye aliyenihamasisha kuwa msikilizaji wa kila siku na alipohama kwenda E-fm...
Nisha amedai kuwa msanii wa bongofleva, Ney wa Mitego ndiye aliyembaka na kumpa mimba
Lakini Ney wa Mitego ameng'aka na kudai sio yeye na hawezi kubaka kwa kuwa anapiganiwa na wasichana wengi sana