Nipo Dar, na when in Rome do as the romans do! Act as Mwanaume wa Dar
et mbona jamaa hajapost picha za show aliyosema atafanya uwanjani Mayote? picha zilizzopo ni za show ya VIP tu ambazo hata...
Msanii wa Kimataifa kutokea nchini Tanzania, ambaye pia ni mshindi wa Tuzo ya MTVEMA2016 @officialalikiba, Ameshinda tena tuzo kubwa ya nchini Uingereza maarafu kama #befftaawards za Uk kama Best...
Amepost katika mtandao wa instagram na facebook pasipo kuandika chochote, wengi wametasfiri kwamba ameamua aweke usafiri wake hadharani!!
Sasa usishangae wale jamaa wengine nao wakapost meli yao!!
Who is the best between the two guys!I always listen to their jams both are beautiful freakishly talented and have sweet voice, when it come the matter of choosing the most decorated artist i fail...
Msanii wa bongo movie Nisha ameendelea kufunguka kuhusu mwanaume aliyembaka, akidai alikuwa ni mwanaume mzigo sana ambaye alikuwa hawezi kufanya majukumu yake ipasavyo na ndipo akamuacha.
Anadai...
Mrembo Jihan Dimachk aibuka mshindi wa shindano la Miss Universe Tanzania 2016 lililofanyika Usiku wa Novemba 25, 2016.
Jihan Dimachk, Mshindi wa Miss Universe Tanzania 2016 /2017, amezaliwa na...
Leo nimeamua kuja na songs za wasanii mbalimbali duniani walokopi toka kwa wasanii wengine maarufu.
Sababu kubwa ilonifanya ku-thread hapa kuona kijana mwenzetu "Diamond Platnumz" kuzungumziwa...
Leo nimejaribu kutazama kazi kadhaa za AY ! Kwa kweli ni kiwango cha kimataifa! Promo na media ndo tatizo ! Huyu ndo ilibidi awe dangote! Wangapi wanamkubali AY,gonga like!
Kim Kardashian yupo kwenye wakati mgumu kiasi cha kuweka kila kitu pembeni na kuwa na jambo moja tu – kumwangalia mumewe Kanye West aliyelazwa kutokana na matatizo ya kiakili tangu wiki iliyopita...
Msanii Young Killer amefunguka hayo alipohojiwa na e newz, na kudai kuwa bongo fleva kuna mafanikio na wanalipwa hela nyingi ndio maana wana bifu, tofauti na Hip hop
Sasa nimeamini rasmi kuwa viewers wananunuliwa Youtube, maana naona hata Darasa nae kaanza kununua viewers.. Haiwezekani 5 days apate viewers +300K..
Ebu ivutieni picha hii nyimbo yake halafu...
Kutokana na hili sakata la kununua views uko YouTube na mtuhumiwa mkuu akiwa bwana msafi himself mond bin laden
Nimejaribu kufatilia apa jukwaa la celebrity jf kwa maelezo ya watalam wa ayo...
Baada ya Diamond kupata mafanikio kupitia lebo yake ya WCB sasa nimesikia kwenye redio Alikiba akisema ana lebo yake inaitwa king record amesajili baadhi ya wasani mama Jokate, Dimpoz any skz...
Kijana wa kununua viewers timu ujanja ujanja amenunua na kupewa tuzo ya best collaboration of the year.
Nyimbo yake ya ujanja ujanja aliowashirikisha wajanja wajanja P square inayoitwa KIDOGO...
Uwepo wa timu za kishabiki ndio unaofanya wasanii wengi wasing'are. Ila kiukweli wasanii kama Darassa, Ben Paul, Barakah, Jux, Barnaba wanafanya mziki mzuri kuliko uwepo wa timu za kishabiki ndio...