Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Mmasai Abel Motika “ Mr Ebbo" alikiwasha Sana na Ngoma Kali zenye lafudhi na pigo za kimasai zilizokua na komedi pamoja na mafunzo ndani yake. . Ngoma gani unaikumbuka toka Kwa huyu mwamba? ...
8 Reactions
37 Replies
2K Views
Kila tarehe 9 october ni siku ya kuzaliwa ya Rapper Yafeu Akiyele Fula A.K.A Yaki Kadafi. Mama yake Diamond huwa anasema kwamba kipindi Rommy Jones akiwa mdogo ilifikia hatua hata kumpa nyonyo...
49 Reactions
312 Replies
28K Views
Majina yake kamili anaitwa Mikka Aleksanteri Kari jina maarufu Mika Mwamba. Kiasili jamaa ni Mfinland. Miikka aliwahi kufanya kazi na wasanii mbalimbali wa nchini Tanzania. Wasanii hao ni: Dully...
29 Reactions
62 Replies
6K Views
If puss and dog can get together, Why can't we love one another? -Bob Marley
3 Reactions
51 Replies
4K Views
Mwijaku anasema ukiwasikiliza watu utakufa maskini. Epuka watu wanaokuambia unajidharirisha, fainali ni uzeeni.
11 Reactions
41 Replies
3K Views
Habari za hivi punde ni kwamba mwanamuziki namba moja wa kike East Africa, Zuchu aka Zuu amejitoa Instagram. Amefanya hivyo kwa ajili ya kufanya ibada mwezi huu wa Ramadhan ambao Zuchu ni binti...
13 Reactions
53 Replies
3K Views
HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE, AKIFUNGUA RASMI BUNGE JIPYA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, DODOMA, 30 DESEMBA 2005 . . . . Uchumi...
0 Reactions
60 Replies
8K Views
Wanazengo wanasema bibie ni mwalimu wa kuiba waume za watu , Na nasikia akimpata mume wako anamroga mpaka basi , yani bingwa wa kuiba waume za watu na ni mchawi kupitiliza. Umbea unaozagaa kwa...
14 Reactions
243 Replies
43K Views
Nampenda men mwenye umbo zuri kama jd/awe ananyuka pamba kama vile Stev B /sio maarufu sana kama hammy b / awe anajua mapenzi sana kama vile jafarai/ili nikiwa nae najua nitafurahi/ awe...
0 Reactions
8 Replies
574 Views
Aliudanganya ulimwengu kuwa Rais wa Marekani Trump kampongeza Magufuli. Hakika imekuwa ni kipindi kirefu sijamsikia huyu mwamba ambaye alikuwa NI mtangazaji wa kituo cha television hapa nchini...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Mchezaji wa soka wa Palestina, Mohammed Barakat, aliuawa Jumatatu wakati shambulio la angani la Israeli lilipogonga nyumbani kwake katika mji wa kusini mwa Gaza wa Khan Younis. Nyumba yake ya...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Mh. Jojo akihutubia kikaoni leo katika mkutano wa UWT. Ni kama ameanza kula chumvi sasa! Ujana kweli haudumu
21 Reactions
85 Replies
7K Views
Kwema wakuu, Kwa wale wapenzi wa burudani hasa music wa hapa home sweet home (bongo flavor) wa kizazi cha kati na cha sasa, utakubaliana na mimi kwamba katika collabo zilizowahi kutokea na...
7 Reactions
103 Replies
7K Views
Kama kuna watunzi wazuri ambao wamewaandikia wasanii wengi na nyimbo zikawa hit akiwemo Maua Sama, akina Nandy na wengine wengi tu ni Ibra Nation. Watu wengi wamemjua kwa wimbo wake wa Nilipize...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Former UFC Champion Mark Coleman ran into burning 🔥 house and served both his parents then went back in for their dog 🐶 but passed out in the fire. He is now in critical condition at the...
0 Reactions
0 Replies
382 Views
Staa wa muziki wa Bongo Fleva @officialalikiba amezindua radio yake mpya inayoitwa CROWN FM ambayo inapatikana 92.1 Fm. Alikiba ameeleza sababu za kuzindua Radio kuwa ni njia pekee iliyoinua...
43 Reactions
287 Replies
21K Views
Huu ni mtazamo wa nguli na gwiji wa entertainment industry hapa bongo Salama Jabir. Na mimi namuunga mkono toka day one uwa nasema hii kitu nikaishia kupewa majina mabaya na wenye wivu, chuki...
8 Reactions
125 Replies
8K Views
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Omary Mwanga, maarufu Marioo, anayedaiwa zaidi ya Sh. milioni 500 kwa kuvunja mkataba, anatarajiwa kujitetea Mahakama Kuu Machi 18 na 19, mwaka huu. Marioo na...
6 Reactions
54 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…