Wakuu naomba muongozo, nimekuta haya matangazo kadhaa mitandaoni yakiongozwa na bidada Al-maaruf Mariam Biriani yene jina la USIKU WA KISAMVU CHA KOPO.
Kwa kweli hilo jina na hizo picha za...
Dubai ni sehemu moja safi hata ukiwa tapeli,mwizi,mtakatishaji pesa kwako ni sehemu nzuri sana.
Sasa ili lilomkumba kesi za ngono kwa nchi za wenzetu ni kesi kubwa kama ilivo mfungo pale...
Huwa najiuliza life style ya hawa ndugu zetu ...na Mara nyingine huweka wazi kabisa maisha yao ya starehe na anasa zilizopitiliza kama ulevi...kutoka na wake wame za watu...kubadilisha wanaume...
Ndoa ya Nyota wa zamani wa Chelsea na timu ya Taifa ya Cameroon, Geremi Njitap ipo katika mchakato wa talaka baada ya kubainika Watoto Mapacha waliozaliwa Mwaka 2008 miaka minne kabla ya kufunga...
Kwa wale ambao you've been watching this show I don't know why the end broke my heart so bad
inshort nimejisikia vibaya sana🥺😭
why the show had to end like that, why lakini🥺🥺🥺🥺🥺
Sentenced to 8 months of prison, 2 years of probation and 40 hours of sexual violence education.
actor Oh Young-soo has been found guilty of indecent assault in a South Korean court.
The...
Habari zinazotembea kwa kasi ya ajabu hapa mtaani kwangu ni tuhuma za usaliti wa Harmonize kwa shabiki yake na supporter wake namba moja Mzee wa Mjegeje.
Mzee huyu ambae alikuwa kama balozi wa...
FAZA NELLY MEMBER WA X PLASTAZ KUNDI LA HIP HOP KUTOKEA MKOANI ARUSHA...
✍🏼 Jumatatu ya 29 March Mwaka 2006 Fans wa Swahili Hip hop World wide dunia nzima walikua na simanzi kutokana na Taarifa...
Wanabodi,
Kwanza tuendelee kupeana pole kwa msiba wa mpendwa wetu Stephen Kanumba "The Great".
Leo nimeisikia taarifa ya awali ya polisi ikielezea mwili wa marehemu umekutwa na jeraha kichwani...
Wimbo wa Zuchu Sukari umefikisha views 100M kwenye mtandao wa YouTube, hii ni historia mpya kwenye ukanda wa Africa.
Sukari unakuwa wimbo wa kwanza ulioimbwa na msanii mmoja (Solo artist) Wenye...
Habari zenu wakuu!
Hivi huyu mtangazaji wa kipindi cha njia panda kinachorushwa kila jumapili Clouds Fm, Doctor Isaac Maro ni Doctor kweli?
Na kama ni daktari kweli, anawezaje kumudu kazi zote...
LOS ANGELES - The Los Angeles home of Sean "Diddy" Combs was raided by Homeland Security Investigations Monday in connection with a federal sex trafficking case, authorities said. FOX 11 was first...
Watu wengi hawajui historia ya muziki wa bongofleva na hawajui umeanzia wapi.
Fact ni kwamba muasisi wa muziki wa bongofleva ni Prince Dully Sykes aka Mr Misifa.
Sound hii unayoiskia leo ya...
Ni miaka nane sasa imefika toka kuazishwa kwa tuzo hizi za heshima kwa kutambua mchango wa Malikia wa nguvu katika Jamii.
Hongereni wote waliopata jana, walistahili.
Kwa kuwa Clouds Media ni...
Dudubaya amezidi kumshukia Ruge mutahaba na kusema kuwa alikuwa akiwanyonya wasanii aliokuwa anasema anawainua
Dudubaya ameendelea kusena kuwa Ruge ndio alisababisha Studio ya Bongo Records...
Taasinia ya Sanaa ya michezo ya kuigiza hapa Tanzania inapitia changamoto nyingi sana zipo tunazoziona sisi mashabiki na pia zipo wanazokumbna nazo wasanii husika. Binafsi hiz ni baadhi ya...
Mwigizaji na mtayarishaji wa Movies kutokea nchini Marekani, Mzee Robert De Niro amepata mtoto wake mwengine akiwa na miaka 80.
Robert De Niro akiwa na umri wa miaka 80 na mtoto wake wa miezi 10...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.