Mwanamziki Ommy Dimpoz amerudishwa Tanzania baada ya kuzuiwa kuingia Marekani kwa kokosa vibali vinavyomruhusu kuingia nchi hiyo.
Chanzo: Clouds
Aisee
Nasikia viza aliyokuwa amekata haikuwa ina...
Msanii wa Kimataifa Ambwene Yesaya (AY) anayefanya kazi zake za kisanii nchini Tanzania na pia anatamba na wimbo wake mpya unaoitwa ZIGO amezidi kuonyesha mafanikio yake ya kimuziki na kibiashara...
Imegundulika Kuwa Waigizaji Wa KIKE ( Bongo Movie ) Pekee Ndiyo Hufanikiwa Sana Na Haraka a.k.a KUTUSUA Mapema Kimaisha Kuliko Wale Wa Kiume Lakini Pia Kama Hiyo Haitoshi Imegundulika Kuwa...
Miongoni mwa stori zilizochukua headline kwenye radio mbalimbali, hata kwenye magazeti ni kuhusiana na msanii wa Ommy Dimpoz kuzuiliwa kuingia Marekani na kurudishwa Tanzania bila kufanya show...
Msanii Mwasiti ametangaza rasmi kumtangaza mpenzi wake ikifika mwezi wa tatu.
Ametoa uamzi huo wa kutangaza kutokana watu wengi kumuuliza kuwa ana uhusiano na Sam Missago naye kukataa na kudai...
Habari wana JF,
Kweli mziki unalipa sana,Msanii wa kizazi kipya, Hamis Mwinjuma (Mwana Fa) aonyesha jeuri ya fedha. Mwana Fa asafiri kwenda Massachusetts kwa kutumia ndege wanaotumia matajiri...
Staa wa Bongo Fleva, Stara Thomas akiwa na mumewe
Stori: Deogratius Mongela na Chande
HAYA ni madai mazito! Kwamba, staa wa Bongo Fleva ambaye juzi kati alinusa kwenye gospo...
Mungu ni mkubwa :Mama mzazi wa Supastaa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul Diamond Platnumz, Sanura Kassim Sandra, amerejeshwa Bongo kutoka India ambapo afya yake imetengemaa.
Habari kutoka...
Mjanja wa Mjini Kijana Petitman Wakuache ambae ni Shemeji wa Mwanamuziki Diamond Jana Ameendeleza Series ya zawadi za Magari kwenye sherehe za kuzaliwa baada ya kumzawadia mke wake gari aina ya...
Kama umedownload au kutumiwa wimbo unaosemekana kuwa ni wa Diamond featuring P-Square na pamoja na kuusikiliza kwa mara kibao ukashindwa kusikia sauti ya Paul au Peter Okoye, basi sikio lako...
Mzee Abby Sykes afariki dunia.
Baba Mzazi wa Dully sykes, Ebby Sykes amefariki dunia leo.Habari hizi zimethibitishwa na Mwanae Raya Sykes.Mzee Sykes amefariki akiwa na umri wa miaka 62.
Mwaka 2013 pale nchini Uganda, Proscovia Oromait aliweka rekodi ya kuwa The Youngest MP in the World baada ya kuchaguliwa akiwa na miaka 19 tu.
Sasa basi huu ni wakati muafaka wa vijana wetu...
AMEKUWA MBONGO WA KWANZA KUNUNUA TOLEO JIPYA LA SNEAKERS ZA YEEZY ZA KANYE WEST, UNAAMBIWA KUNA MASTAA AMBAO HATA MAREKANI BADO HAWAJAVIPATA
HONGERA LAMAR KWA KUIPEPERUSHA BENDERA YA TANZANIA...
Msaani maarufu wa Maigizo Nchini aitwaye Rashid Mwinshehe maarufu Kama "Kingwendu", amesema anajiandaa Kugombea Ubunge 2015 Kupitia Chama ambacho amedai Kuwa anaona Kinapendwa na Watanzania...
- Kampuni ya Cocacola hivi kuanzia leo imeanza kutoa heshima kwa all Super Stars wa Tanzania ambao wana ushawishi mkubwa katika jamii kwa kuwatengenezea makomo maalum ya Soda zao ambayo yataanza...
BEAUTIFUL-Onyinye, Wema Sepetu Madam amefunguka kuwa anajuta kutumia kope za bandia kwa muda mrefu kwani zimeharibu kope zake za asili.Akizungumza na mwanahabari wetu, Wema alisema awali...
Diamond Vs Ali Kiba ni ushindani usio rasmi unaochochewa zaidi na mashabiki wa muziki Tanzania kwa kuwa wawili hao licha ya kuwa wote ni wasanii wenye uwezo mkubwa sana kwenye uimbaji wanatajwa...