Akihojiwa katika kipindi cha ng'ari ng'ari, Shaa alisema," mimi sikuwa sababu ya kuachana kwa wao wawili (master jay na mama watoto wake),kwani ugomvi au kuachana kwa watu wawili huwa inahusu...
Afande sele ameingia kwenye bifu nzito na chid benz baada ya afande kusema dito alitoka watu pori(man united) akaenda La familia(bolton) akimaaniisha dito alitoka man united timu kubwa akaenda...
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na kushtua wasanii Jakob Steven Jb na Steve Magele Nyerere wamepiga nguvu kavukavu karibu na eneo la msiba wa marehemu Adam Kuambiana huko Bunju huku kisa kikiwa...
Aliyekuwa staa ya series maarufu ya The Shield, Michael Jace ametiwa mbaroni kwa kosa la kumuua mke wake. Staa huyo alijisalimisha polisi baada ya kumuua kwa kumpiga risasi aliyekua mke...
Ray J atawazawadia maharusi Kanye west and Kim kadashian dolla 50000 Kama zawadi kwa harusi Yao pesa hizo zinatokana na mauzo ya sex tape ya Kim K and Ray J.
Huyu jamaa Mie namuona Kama hamnazo
hapa alikuwa anajibu 'haters' via instagram!...
Diva ameandika katika page yake instagram kama ifuatavyo:
Kuna Mtu Amenitusi na team zao sijui nini na nini... So umeniita Kibaraka wa...
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na kushtua wasanii Wema Sepetu na Mtitu usiku wa kuamkia jumatatu walizinguana kinoma kaisi cha kutaka kutoana roho kwa kile kinachodaiwa Wema kujibu nyodo mara...
Babu Tale anajulikana kama meneja wa Diamond ambaye kwa sasa yuko juu kwa kasi.
Hapo kwenye shoo mtwara meneja wake anaingia nae ukumbini huku kavaa kanda mbili.
Hivi ni sawa kweli kwa meneja...
Wiz Khalifa sure has been hooking someone up with some joint lol. 30 year old Amber Rose wore the biggest and weirdest sunglasses I have ever seen to the Billboard Music Awards.
I love the...
Diamond ndiye aliteyajwa kwenye vipengele vingi zaidi (5) vikiwemo Msanii wa Mwaka, Wimbo wa Mwaka, Collabo bora, Video Bora ya mwaka na
msanii bora wa kiume wa Afrika Mashariki. Ben Pol ametajwa...
When you have a 13 year old daughter who is rumoured to be dating a 20 year old guy in America then child protective service would definitely snoop in your life. I can say the same for Will and...
Mambo bado mabaya ! Ule ugomvi wa mashosti wawili nyota katika tasnia ya sinema Bongo, Wema Isaac Sepetu ' Madam' na Kajala Masanja ' K ' , sasa umechanja mbuga hadi kufika mjengoni ...
Rappers appear on TV shining like crazy and bragging about how much money they have. But most of this is a really ugly lie and one that makes black people look as ignorant as any minstrel show in...
Msanii wa kizazi kipya na mshindi wa ktma2014, Diamond Platnum, amefunguka kuhusu tetesi zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa ushindi wake wa tuzo saba mfululizo alizozipata zimesababishwa...
(nb: these pics are links; kindly click them)
mwanzoni nilipomuona huyu selebu akitoa 'shooting' ya nguvu na sara 'binti kiziwi' [ kwenye wimbo maarufu wa 'binti kiziwi' alimshirikisha msanii...