JF....!
Hivi sasa kuna wimbo mpya wa msanii Juma Nature feat Jay Dee unaioitwa "kama jana" wimbo huu ni mzuri sana pia una maudhui mazuri ya kuwahasa wasanii kufanya mziki kiubunifu kama wa...
Msanii wa kike wa bongo fleva Ray C amesema kwamba TID ndo alimsababisha kujiingiza katika vitendo vya kula UNGA(cocain).
Akiongea zaidi katika kituo kimoja cha radio, Ray C aliongelea uhusiano...
Mara nyingi Nikki wa Pili kama msemaji wa kundi la WEUSI amekuwa akinukuliwa na vyombo mbalimbali vya habari akidai kwamba weusi si kundi bali ni kampuni ambayo haina uhusiano wowote na kundi la...
Calm down Justin Bieber, she is twice your age. But then again "age aint nothing but digits" right?
Turns out Justin bieber 20 and Hiedi Klum partied at the (am)fAR gala during the Cannes Film...
Maya Anjelou amefariki dunia.
Award-winning author, renowned poet and civil rights activist Dr. Maya Angelou was found dead in her Winston-Salem, N.C., home Wednesday morning. She was 86...
First pic of the bride; all the details from Kim & Kanye's spectacular wedding
Kim K married Kanye West today May 24th at the historic Forte di Belvedere in Florence, Italy, in a wedding that...
Kwanza kingereza kibovu kama hiki huko UK sijui ataongea na mzungu gani waelewane, labda kama anashinda na watu wa East Africa tu.
Mwanamuziki TID ambaye yuko nchini UK...
Dodoma/Dar es Salaam. Ni matukio nadra kutokea katika maisha, lakini haya ndiyo yaliyomkuta Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Vicky Kamata, baada ya kuugua ghafla saa 36 kabla ya harusi yake.
Kuugua...
Robert De Niro is filled with emotion as he remembers his gay father in new interview
Robert De Niro misses his father, an openly gay figurative painter.
Over 20 years since Robert De Niro...
Toni Braxton Once Believed God Gave Her Son Autism Because Of Her Past Abortion
In her new memoir, aptly titled "Unbreak My Heart," singer Toni Braxton opens up about a painful memory from her...
MWIGIZAJI wa Bongo Movies, Salim Ahmed ‘Gabo' amepata ajali mbaya ya gari maeneo ya Kiwalani jijini Dar. Kwa mujibu wa chanzo makini, Gabo aliyekuwa katika gari binafsi, aligongana na gari...
HAYAWI… hayawi sasa yamekuwa! Habari ya mjini ni maandalizi kabambe ya harusi ya staa wa Bongo Fleva na Mbunge wa Viti Maalum ( CCM) anayewakilisha Vijana Mkoa wa Geita , Vicky Pascal Kamata...
Real Madrid superstar Cristiano Ronaldo has graced the cover of Spain's latest edition of Vogue, and the Portuguese star stripped off for the occasion.
Standing completely starkers, Ronaldo...
Mwigizaji na muongozaji wa filamu hapa Tanzania ADAM PHILIP KUAMBIANA amefariki Dunia muda huu muda sio mrefu nitarudi baadae kwa Habari zaidi ....
Muigizaji maarufu wa filamu nchini ambaye...
Ndugu zangu wana JF, Hususani wanamziki na wakazi wa MWANZA . mtajwa hapo juu ni mugonjwa sana kwani hawezi hata kutembea, kwa. kwa wasio mfahamu anaitwa SAMSON WILISON alisomea shule ya msingi...
STREET FIGHT: HASHEEM THABEET VS. TID :mad2:
ILIKUWA muda wa kama saa nane na nusu usiku. Siku ni Ijumaa tarehe Mei 7, 2010. Nilikuwa nimesimama nje kwenye parking karibu na mlango wa kuingilia...
Mwanamuziki nyota wa Bongo flava ambaye kwa sasa amejikita kwenye muziki wa dansi, Khalid Mohammed TID, wiki iliyopita alionja joto ya jiwe baada ya kudundwa hadi kutolewa nundu puani na...
Msanii wa kizazi kipya amtukana mtangazaji mara tu baada ya kumpigia simu kumuuliza maswali ndipo msanii huyo alipomtukana mtangazaji.
Source: clouds fm,xxl
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.