Nawazungumzia Judith Wambura Mbibo au Lady Jaydee (ANACONDA) na Naseeb Abdul au Diamond (MNYAMA),kwa sasa ukitaka kutaja jina la mwanamuziki bora wa kiume basi listi itaongozwa na bwana mdogo...
Yaani kuna nyimbo moja ambayo Jidee anaimba," yote mliosema" kuna melodi ambazo Diamond kaiga zote,kaweka kwenye wimbo wake wa my no one! Ha kumbe ukubwa dawa!
Jumamosi tarehe 26/01/2013 nikiwa ofisini mida ya saa mbili usiku mie na jamaa zangu tukisubiri kusikiliza taarifa ya habari (StarTv) jamaa yetu mmoja akingia na watu watatu (mwanamke mmoja)...
Anaitwa Asha Jumbe,ila jina la movie aliyowahi kucheza na marehemu kanumba inayojulikana kama WHITE MARIA,ilimpaisha zaidi huyo bidada kwani alicheza kwa kiwango cha hali ya juu sana,ni kabinti...
habari zenu wanajamvi,naomba kuuliza kuhusu huyu mtu anayejulikana kwa jina hilo tajwa,ni nani hapa mjini?ni celebrite? mwenye cv yake anisaidie, pia mwenye picha yake anisaidie niweze...
kama tunavyojua juzi 2 hapa ilikua ni birthday ya wema ambapo alikua hong kong but badae bwana mdogo da president himself diamond platnumz akamjoin kutokea malaysia adi hong kong kama birthday...
MSANII WA BONGO MOVIE AVULIWA ZOTE NCHINI CHINA NA KUFANYIWA UPEKUZI;ALALAMIKA KUTOMASWA KIMAHABA WAKATI WA KUMKAGUA
MSANII wa Bongo Movie, Devota Mbaga hivi karibuni alipatwa na kisanga cha...
hehehehe sijawahi kuona msanii kaanguka U.S.A kama show za B.E.T
au sijui majukwaa yao yapoje.
sijui snura alilewa kiasi kwamba akashindwa kujicontrol lol!
Staminah ft Rich Mavoko - Kabwela
nimepigwa msumari wa kichwa mwili unangoja
kaburi
maisha yamenipiga picha nega zimetoka vivuli
dunia tambala bovu nalidekia kwa shida
jitahidi kui'solve bila...
Mimi ni mmoja kati ya wapenzi na wasomaji wazuri wa jarida hili la BAAB KUBWA,kwa takribani miaka miwili sasa,ila kuna tatizo ambalo naliona linakuwa too much kwa hawa waandishi wa jarida hilo.Ni...
Anaitwa Elizabeth michael,wengi tumemzoea kwa jina la LULU.Ndiye msanii maarufu pekee mwenye umri mdogo kuliko wasanii wote apa Tanzania akiwa na umri wa miaka 18 tu Lulu anamiliki mjengo wake...
Lundenga anacheza na hili shindano
poor promotion
watu wengi walikuwa hawajui..
no proper media coverage
wasanii waku perform ndo kabisa
mganda hamna kitu
Jaydee akavaa kama anaenda Disco
jukwaa...
Jose (or Joe) Chameleone is a Ugandan artist who found his niche blending traditional Ugandan folk music, a bit of rumba and a heavy reggae influence. He sings in English, Swahili, and Luganda...
VALU VALU:LYRICS:DR JOSE CHAMELEONE
IT'S BEEN A LONG,LONG,LONG,LONG TIME,
(Paddy producer-Audio one- come in)
BILA VALU VALU BABY,
NAOMBA MI NAWEWE TUWE,
ACHANA VALU VALU DARLING....Naleli na...