Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Saiv wema yuko hewan eatv na kipind chake. Ila sasa jaman huyu mtoto ni muongo cjawah kumuona,yaaan anadanganya vitu kibao. Angejua kama tunajua ishu zake nyingi....... Lol...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Sijamuelewa kabisa huyu jamaa anachoongea hapa.
0 Reactions
27 Replies
6K Views
Awali nilitoa taarifa kuhusu Diamond kufanya onyesho la music,mjini Guangzhou China.. taarifa kamili ni kuwa.. onyesho litakuwa siku ya ajumaa tarehe 18. ndani ya Rich club ..the president z goin...
1 Reactions
44 Replies
9K Views
Dah kuna kipindi huyu muigizaji alikuwa juu sana apa bongo,alikuwa hakamitiki kwa ustaa na level ya juu aliyokuwa nayo apo awali,ki ukweli aunt anajua sana kucheza na camera asikwambie mtu,she is...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
1. Ndoa yao ina miaka 65. 2. Hawana skendo yoyote. 3. Mtoto wao wa kiume ambae ni Mrithi wa Ufalme kwa mujibu wa katiba ya nchi yao, mpaka sasa ana miaka 65, akimsubiria mama yake afe ndio awe...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
nashindwa kuelewa kama walielewa haswaa maana ya hizo id hapo juu! 'the great' na mwingine akapiku na 'the greatest'! jamani mwenye ufafanuzi kuhusu hawa watu na majina yao ya ziada...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Uyo jamaa kulia ni Raisi wa shirikisho wa Filam Tanzana na kushoto kabsa ni jamaa muigizaji kutika Ghana
0 Reactions
59 Replies
6K Views
Huyu dada Mtangazaji wa ITV nadhani inabidi apewe pongezi kwa jinsi alivyojitoa muhanga kutangaza habari za CDM wakati wa uchaguzi hadi sasa, amezunguka mikoa yote na viongozi lakini kikubwa ni...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Namkubali sana huyu binti jinsi anavyoripoti matukio mapya na alivyo "committed" kwenye kibarua chake; jinsi anavyoibua habari mitaani. Ni kama Jerry Muro wakati uleeee kabla ya kukwaa kisiki. Big...
3 Reactions
54 Replies
9K Views
Naomba msaada wa kujulishwa maendeleo ya ujauzito wa huyu 'former classmate' wangu. Ni muda tangu nimesikia ana kibendi na tangu hapo sijapata taarifa kama ameshajifungua au bado.
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Mbwiga wa Mbwiguke ndiye anayepokia hela ndogo kuliko watangazaji wote. Unajua anakula mtonyo gani? Milioni moja na nusu babake.
0 Reactions
34 Replies
5K Views
Bonge la track kati ya jcb na prof jay. Ngoma inaitwa drive slow. Prof.jay kazungumzia kifo cha mamake jinsi alivyogongwa na gari naJCB kazungumzia washkaji zake. Iko pouwa sana. Hiphop for life!
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari za chini ya carpet ni kwamba Lady Jay dee # ANACONDA... Atamleta bwana mdogo Lil wayne, Tarehe moja na tamasha la fiesta.... Tusubirie Clouds watamdaka msanii gani atakayekua ana show South...
0 Reactions
31 Replies
6K Views
  • Closed
Kuna tetesi za chinichini hapa mjini kumhusu Bibie Mh Halima Mdee kwamba yu mjamzito.......... sina kinyongo na Mh na ikiwa ni kweli napenda kumtakia kila la heri, nakumbuka katika mahojiano...
0 Reactions
24 Replies
11K Views
Kwa uku kwetu bongo ukimuuliza mr blue msanii anayemkubali pande za obama atakwambia ni JAYZEE,na angetamani siku moja awe kama yeye au hata kuimba nae tu(japokuwa ni ndoto),wema sepetu atakwambia...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
habari wana jf, Jijini Dsm kuna mengi ndugu zangu, mi nimejitokea zangu mwanza, najisemesha nina kipaji kwenye sanaa ya uigizaji! Nimeishia kuingizwa mjini na huyu mama wa buguruni (ana kundi...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Mara nyingi huwa najiuliza sababu ya wasanii wa kike kushindwa kufanya vizuri katika muziki wa hapa nyumbani almaarufu kama Bongo Flava. Wasanii wengi wa kike wamekuwa wakiibuka na kupotea, ni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa wapenzi nn mashabik wa music wa Tanzania mjini Guangzhou China....for the first time. WCB president,Diamond weekend ijayo atakuwa na maonyesho ya music mjini humo. Tarehe na detail zingne...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Sijui ni kwangu tu,naona kama wananiboa,mfano kuna movies za mzee majuto kuna jamaa anajiita zumbekuku,kuna movie nyingine ya "garage" anajiita chilisosi. Wapo wengi sijui ndo sauti zao halisi au...
2 Reactions
33 Replies
5K Views
Diamond akiwa na Wema na binamu yake aitwae Romeo Kuna sababu zaidi ya 100 kuwa ‘ile inayoitwa’ movie ya Diamond na Wema Sepetu iliyopewa jina na Diamond, ‘Temptations’ haipo na kama...
0 Reactions
94 Replies
14K Views
Back
Top Bottom