Taarifa za Ndani toka kwa wadau waliopo karibu na Roy zinadai pengine show ya wasanii bora Africa na ulaya P Squire itapigilia msumari wa mwisho katika jeneza la utawala wa show za Clouds media...
Ghollywod actor Van Vicker is one of those fortunate to have married his first love....and today 19years after they met,they are celebrating 10years of marriage..10years with three beautiful...
Mungu baba muumba mbingu na nchi na viumbe vyote,naomba Mungu ushushe mvua kubwa inayoambatana na upepo mkali maeneo ya viwanja vya Leaders ili utuondolee Laana itakayofanyika mahali pale,Mungu...
Kim Kardashian got the birthday surprise of a lifetime tonight. She is engaged to longtime love Kanye West, the rapper popping the question in front of their friends and family at AT&T Park in...
Leo nikiwa nipo busy kushughulikia afya ya mama watoto kwenye hospital ya TMJ ndipo nikamwona baba yake na Wema akishushwa kwenye wheelchair! Kushuka huko nikagundua tayari kuta tatizo kwenye afya...
Ikiwa imebaki siku chache kufanyika tamasha kongwe la Fiesta,kumetokea kuzorota na kukosa msisimko kabisa kwa tamasha ili tofauti na miaka ya nyuma..ni kana kwamba Ruge mwaka huu ategemee maumivu...
Wwngi hum wimbo wa number one ya Diamond walikuwa na pengne bado wanauchukilia poa...
lakin kwa msanii Wa kimataifa Davido hakutaka kujiuliza mara mbili mbil kuomba wimbo huo waufanyie remix...
Hii video mpya ya MY NUMBER ONE ya diamond ,imenifany nimkubali sana,nyimbo iko poa sana ila kikubwa kilichofanya niipende ni wale video queens wake jinsi wanavyocheza kwa ubunifu wa hali ya...
Habari wazee.
Najua humu kunaweza kua na wataalamu wanaohusika na kushoot bongo movie au ata waigizaji wenyewe.
Nilikua na swali kidogo kuhusu hii sector.
Hivi kwa kawaida movie moja (Bongo...
habari wana jf,
kwa kuanza tu niseme kwamba tasnia ya sanaa ya maigizo hapa bongo, almaarufu kama bongo movie, imeshika kasi kwa umaarufu kwa kiwango fulani japo ina mapungufu ya ubora wake...
Hivi ni kweli kabisa BASATA wameguswa na milegezo ya Ney wa Mitego mpaka kumwandikia barua ya onyo,au kuna kitu kingine behind the scene??na Kama wameamua kufatilia maadili nadhani walitakiwa...
Eatv ni bora kwa hapa bongo.kuanzia vipind,graphics na vingne. Ila kuna watangazaji wanapunguza ule ubora.
1.dulah wa pb kubana pua
2.fatma wa hotmix huyu ndo anaharibu lugha! English hayupo na...
Asilimia kubwa ya wasanii wa tmk wanachanganya maneno yanayo husu misosi au vinywaji katika nyimbo zao.eg.kachumbali,vinywaji kwenye furiji,mishikaki n.k.
hadi sasa hivi sijajua kama ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.