Habari wanajamvi i hope mko poa na mnaendelea na mishe mishe za kila siku.leo na swali kwenu hivi nini maana ya utangazi coz juzi tu nilikuwa nasikiliza redio moja dah!! Kiukweli sikuelewa jamaa...
Leo saa 8:45 usiku wimbo wa ''WANAUME KAMA MABINTI'' wa Lady Jay Dee ulisikika kwenye kipindi cha ''Late Night Show'' cha hii redio. Japo mtangazaji wa kipindi hakuumaliza wimbo mzima, ni dalili...
Bonge la dude toka kwa binamu na woman and a half 'jay dee' aka anaconda.complex ndo alitengeneza hyo huku adam juma akismamia video. Bahati mbaya umepata pigo kwani wahusika hawawezi tena imba...
Radio V-103 iliyoanzishwa miaka 25 iliyopita Chicago, Marekani inatumia The Peoples station kama Clouds fm. Any coincidence?
Link hii hapa: V103 - TODAY'S R&B & OLD SCHOOL: CHICAGO
Huwezi kufika mbali bila kugeuka nyuma na kuangalia Adui wako kafikia wapi... ili ujue unamuongezea Hatua ngapi Mbele Kumuacha kabisa...! #WCB for life
artwork by Andrew(h.desert)
Nimepata taharifa kutoka kwa mtu wa karibu na Agnes masogange kuwa wanaandaa mapokezi makubwa airport ya kuwapokea ,kinachosubiriwa sasa ni Tarehe rasmi ya kuja,pia ikitangazwa mnaombwa kuja...
Huyu jamaa ni director producer na muigizaji wa movie za kutisha kutokea mkoani mwanza.baadhi ya movie alizowahi kuzitoa ni ile yaCHOZI LA URITHI hii movie ilimpa umaarufu si mwanza tu hadi dar na...
Tumefika salama in Malaysia tayari kwa show atakayoifanya Prince of bongo fleva & CEO of WCB, Ngololo master, Diamond.
Na pic hiyo ni sehem ya chumba alimofikia 9anaonekana kwa mbali)
Updates...
habari wanajamvii na heshima kwenu nyote wanajamii wenzangu msiogope wala msishtuke ni mimi kijana wenu YUSUPH ISSA mwenye mtazamo angavu na makini katika kuyaweka wazi yale yote yanayotuzunguka...
SIKU chache baada ya ndoa ya supastaa wa vichekesho Bongo, Amir Athuman Mzee Majuto kuvunjika, mke aliyeachika amekimbilia Baraza Kuu la Waislam Tanzania (Bakwata) kutoa malalamiko yake, Amani...
Huyu jamaa alikua kwenye kipindi cha maskani cha Times FM sasa hivi simsikii tena maana nilisafiri kikazi mkoa na uko mkoa Times hamna mwenye data hebu atujuze wajameni.
With all due respect,Mr.Kusaga the don..Timu yako ni wabunifu sawa hilo sipingi ila tuwe wastarabu kidogo.Ile bibi bomba naona kama ni udhalilishaji tu wa watu muhimu na tunaowaheshimu sana katika...
Kwa muda mrefu nimekuwa nikiulizwa sababu ya kuamua kusambaza filamu zangu mwenyewe badala ya kuzipeleka kwa wasambazaji ambao nilikuwa nikifanya nao kazi kwa muda mrefu, yaani kampuni ya Steps...