Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

LEO NI MAADHIMISHO TOKA JUSTINE KALIKAWE ALIPOFARIKI,MIMI BINAFSI NITAMKUMBUKA KWA NYIMBO YA MV BUKOBA NA AMANI SIJUI WEWE
0 Reactions
29 Replies
10K Views
Jicho la Diamond lime search kama google lika vuka boda hadi KENYA kwa Mtoto Avril Comment kwa kumalizia sentensi hii Diamond ni .................????
2 Reactions
34 Replies
9K Views
jamani wanajamvi mimi nikiri kabisa kwanba ni shabiki mkubwa wa huyu mtangazaji tangu akiwa clauds f.m. umepita kama mwezi hivi simsikii katika kipindi chake cha maskani, times f.m. na kipindi...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
ndoa ya tatu si mchezo. hongera sana,wanawake wanaweza mtu akikuzingua piga chini
0 Reactions
101 Replies
17K Views
weekend iliyopita Diamond alikuwa na show Nairobi na Mombasa ambapo kuna taarifa kuwa mashabik wa mombasa walicharuka baada ya Diamond kuchelewa kupanda stage..kuna baadhi ya media na hta kuna uzi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Katika kuadhimisha Idd el Fitr kama hii, nimemkumbuka Sana Shekhe Yahya Hussein mkazi wa zamani wa Magomeni Mwembechai aliwahi kunukuliwa kuwa Ramadhan ya mwaka 2009 katika Taifa zima la Tanzania...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jaman huyu anayejiita kichuna wa times kiukweli ananikosha ile mbaya haswaa katika utangazaji wake Yaani anaflow na spidi ya ajabu katika kuongea, na sijui nimfananishe na mtangazaji gani wa...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Kuna midude itaponda wakati hiyo hiyo bado inaishi kwa wazazi wao ambao bado wamepanga hapa mjini go diamond,go,mimi na fans wako tunakuombea mafanikio zaidi kimziki na kimaisha
0 Reactions
46 Replies
16K Views
Linaitwa ''Tupogo.'' Huyu dogo amejaliwa sana kwa kweli.
0 Reactions
56 Replies
7K Views
Kwenye ngoma yake mpya ya 'Salamu zao,' mkali anayesifika kwa kutopindisha maneno anamwambia Kikwete atatue mgogoro wa gesi Mtwara haraka na Zitto aachane na Bongofleva.
1 Reactions
36 Replies
6K Views
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kinondoni, leo imeiaharisha kesi inayomkabili msanii wa kizazi kipya nchini, Judith Wambura 'Lady Jaydee' a.k.a Annaconda dhidi ya uongozi wa Clouds Media Group hadi...
5 Reactions
57 Replies
10K Views
nikisikia sauti yake huwa napagawa and nikachukua hatua ya kumsaka kwa blog yake,kiukweli she is hot and naitaji awe myn. najua humu ndani wapo wanaomjua mpeni tu habari mr from a town...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Hawa ni waandishi ambao wamenifanya niweze kuwa napenda kusoma makala kutokana na ujasiri wao wa kiuandishi katika jamii mungu awape maisha marefu na yenye afya 1.Jenarali Ulimwengu 2.Lula...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Wadau haiwezekani msanii wa kweli kila siku awena maskendo tu hayana kichwa wala miguu akenda kwenye hotel anawapigia wandishi wa habari wamfate wakamfumanie na mabwana watoe kwenye magazeti...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Jmn huyu nguli wa vituko pale zeCOMEDY, yupo ndan ya hii wilaya cjui anapga mishe gan huku?, naona watu wa wilaya hii wanajazana kwenye tax alyomo, naona yumo yeye na mkewe, naskia sasa hv...
0 Reactions
42 Replies
6K Views
MASTAA wawili wanaotamba katika filamu za Kibongo, Kajala Masanja na Wema Isaac Sepetu hivi karibuni walifunga safari hadi Gereza la Ukonga jijini Dar kwa ajili ya kumuona Johnson Nguza...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Jamani nimeona niwashirikishe wenzangu kuona picha za selebriti wetu Aunt Ezekiel.
1 Reactions
227 Replies
137K Views
WCB ndiyo brand name ya kampuni ya wasafi ikiwa na maana ya WASAFI CLASSIC BABY wengi wanaweza pendekeza iitwe WASAFI CLASSIC BOYS OR BROTHERS but girls watakuwa wametengwa n wasafi ni all...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
DUH! Ule mwaliko wa wasanii wa Bongo Muvi kwenda Ikulu kwenye futari kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, umeota mbawa baada ya kuambiwa ‘msije'...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…