Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Msanii wa Bongo Fleva Diamond Platnumz amepiga hatua nyingine kubwa katika kazi yake ya muziki. Diamond kwa jina halisi Naseeb Abdul amekuwa mwanamuziki wa kwanza kusini mwa jangwa la sahara...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Inafaa kunena, inafaa kunena labda ni muhimu sijui, labda kusimulia si karama kama wanavyo sema Ikiwa msimuliaji huingia hatarini, labda kweli baraka ni laana njema Wasikilizaji naskia wana...
3 Reactions
7 Replies
4K Views
Sina hakika huu wimbo ni wa lini, ila kwa video nimeona kama ni wa kipindi kile cha ajali ya wale watoto wa sekondari Arusha. Pamoja na hayo, hiyo sio mada yenyewe. Umetokea msiba wa Rais...
0 Reactions
4 Replies
36K Views
Author: Akida S. Rambao Contact: 0658328596 Email: akidasiri@gmail.com Naweza sema nilijiona mtu sahihi nisiyekuwa na makosa, lawama nyingi niliziweka kwake. Nilimtuhumu kwa kila tukio...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wakuu nataka kufahamu net worth za wasanii wa bongo. Nikimtazama mwanamuziki jux naona msanii mkubwa ndani yake. mwenye kipaji. Ana pesa kiasi gani na anazipata je, kwa kuimba tu au ana vyanzo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Eagle Wings Official Trailer The military-themed movie, a first of its kind in Nigeria, was produced and directed by Paul Apel Papel in partnership with the Nigerian Air Force (NAF) Investments...
2 Reactions
0 Replies
478 Views
SEHEMU YA 01: Baada ya kuwa ametumia miaka miwili nchini Irak akiripoti vita vya Ghuba kupitia televisheni ya SkyNews na kupokea Tuzo ya Kimataifa ya Boldness Award iliyoambatana na zawadi ya...
4 Reactions
20 Replies
13K Views
Habari zenu wadau wa JF, Karibuni kwenye Uzi Huu mahsusi katika jukwaa maridhawa la burudani. Lengo la kuanzisha uzi huu ni kujionea Video bora kuliko zote kwa kuangaliwa na watu duniani, ila pia...
0 Reactions
2 Replies
797 Views
Ngoma ya Drake aliyomshirikisha Kayla na Wizkid. Ngoma iitwayo One Dance imefikisha Streaming Bilion 2 kwenye mtandao wa Spotify. Unadhani Wizkid anahitaji pongezi kwa hilo?
0 Reactions
2 Replies
785 Views
Kama wewe ni mfuasi wa muziki, basi utakubaliana na mimi kwamba hii kazi ni ya kiwango cha kimataifa (World Class). Hawa ni watoto wa Afrika Kusini, lakini kazi waliyoitoa ni ya kiwango cha nchi...
5 Reactions
32 Replies
4K Views
Kwangu mimi huyu ni rapa bora wa muda wote ninamuweka kundi moja na marapa bora kabisa waliowahi kutokea Tanzania. Sijaona kazi yake yoyote ambayo hajaitendea haki. Huyu jamaa hajawahi kukosea...
6 Reactions
13 Replies
3K Views
Nitajie movie zinazohusiana na Crimes, Sex drama, na comedy. Zote ziwe za black Americans. single movies. Mfano addicted,get rich or die trying, little man etc
0 Reactions
63 Replies
7K Views
Wakuu habari za asubuhi. Natumaini mmeamka salama salimini. Kama kama kichwa cha uzi kinavyojieleza. Naomba kwa yoyote yule anayefahamu nyimbo za hip hop zenye mapigo kama ya msanii Eminem...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
SIMULIZI: “ANGAMIZO” (01) MTUNZI: XAVERY LUOGA (Starxav) Email: xavemmanuel12@gmail.com Namba: 0672493994 ----------------------------------------------------- - - SEHEMU YA KWANZA Kelele za...
9 Reactions
85 Replies
14K Views
HOFU SEHEMU YA KWANZA PORT ELIZABETH Ilikuwa tarehe 24 Machi, baada ya mauaji ya kikatili ya waafrika 19, katika kitongoji cha Langa, karibu na Vitenhage; mji ulio karibu na ule mji wa...
11 Reactions
225 Replies
65K Views
RIWAYA: TANZIA MTUNZI: MAUNDU MWINGIZI SEHEMU YA KWANZA Ilikuwa ghafla tu, Pepo kali zilipovuma karibu kila kona ya wilaya ya Kibondo, mkoani kigoma. Taratibu mawingu mazito yakalifunika anga...
2 Reactions
22 Replies
12K Views
RIWAYA ;MKAKATI WA KUELEKEA IKULU MTUNZI: HUSSEIN WAMAYYA SEHEMU YA KWANZA. Utangulizi Wakati Baba wa Taifa anamlea Masurufu Hussein Masurufu hakuwa anajua kuwa analea mtu ambaye alikuwa...
2 Reactions
43 Replies
17K Views
RIWAYA; SAHIHI YA KIFO MTUNZI; ISSA MBAGA SEHEMU YA KWANZA Jua lilikuwa likiaga upande wa mashariki na kwenda kuungana na magharibi ili kukamilisha siku, huku likisindikizwa na hali ya hewa...
2 Reactions
34 Replies
45K Views
MUSICIANS ACROSS AFRICA / WAIMBA MIZIKI BARANI AFRIKA. Tamasha la ushindani wa muziki litajumuisha nchi zaidi ya 13 barani Afrika tukianza na TANZANIA. Hivyo tunaomba wanamuziki kujisajili...
1 Reactions
0 Replies
753 Views
Back
Top Bottom