MAGUFULI, DAIMA TUTAKUKUMBUKA
Kifo hakina rufani, pia hakina huruma,
Kimempoka kundini, Rais mwenye heshima,
bado ali ujanani, mudawe umesimama,
Daima tutakuenzi, Tangulia Magufuli
Kifo hakina...
Nimejaribu kuangalia video zao nyingi walizoweka You Tube, hawa vijana wanatisha. Kwenye hii kolabo nammiss Ringo na Maufundi, wangewaongeza hawa mbona tungecheka hadi kuzimia[emoji13][emoji13]
Igweeee!
Poleni sana ndugu zangu watanzania wenzangu kwa msiba mzito wa taifa letu.
Najaribu kupitia mitandao lkn bado sijapata nyimbo za maombolezo.
Tushirikishane tafadhali ht kwa kutaja...
katika album ambazo zipo underrated basi album ya pili ya Albert Mangwear
Nipe ni dili
speed 120
Bata kila sehemu
kimafia
bonnie and clyde
tuko juu
CNN
wakitaa
Bila muziki
Mapenzi gani
inakosaje...
Tanzania songs only
Barua- Daz Nundaz
Kamandaaaaa-Daz Nundaz
Mwanamkiwa - K -sal ft Ferooz
Sauti ya Manka- Gk
Nitakufaje - GK
Maisha ya Bongo - 20%
Tunataabika - Mabaga Fresh
Mama- Mr Nice
Mbona...
Wimbo huu ukipigwa unafanya nimkumbuke baba yangu mzazi enzi hizo tukiwa uwingereza malechela akiwa balozi uk naumia Sana .
Naomba mwenye mashairi yake video zipo utube .
I shall sing sing my...
Hivi vile beat/instrument za kwenye hadithi zile ambayo hua ni za taratibu
YouTube nimejarbu kutafta ila zina kuja za hip hop.
Je, niandikeje ili iwe rahisi kuzipata au hua zinaitwaje?
Soma haya mashairi ya nyimbo zinazopigwa kila uchao na watoto wetu wanasikiliza no wonder nimesoma huko Temeke watoto wanabakana sababu mojawapo ni manyimbo haya yasiyo na maadili. Kwaani BASATA...
Kuna siku nilikua kwenye gari la haya ya mkoani, iliwekwa move moja Kali sana nitahadithia hapa kwa alieiona na kuijua jina aniambie nikaitafute dukani, stori ya move inaanza ilikua familia moja...
10. Iokote /Maua Sama ft Roma Stamina
9. Niite basi/ Joslin Wakali Kwanza
8. Fresh - Fid Q ft Diamond Platnum
7. Si uliniambia /MB dog ft Yakuza
6. Uswazi take away / Chege ft Diamond
5. Mzee...
Kwa wale wanaokifahamu kipindi cha Our Perfect wedding kinachorushwa na Mzanzi Wethu wamekuwa wakitumia beat ya wamerudi ya Belle 9.
Ni moja ya vipindi navyovipenda saana....mara kibao nimekuwa...
Aiseee nimesikiliza goma jipya la Mboso Khan linaitwa "Yalaah" nimehitimisha Kwa kusema kuwa Mbosso ni fundi mpya wa mashairi hapa mjini......
Director Hanscana ni legend
Kitu kingine...
STORY: JINI KURUTHUMU
EPISODE 1
Ni jumapili angavu ndani ya mji wa Moshi, mji uliosheni kila aina ya pilikapilika na purukushani. Jua lilikuwa likielekea magharibi na kulipisha giza lichukue...
Kwa urembo na uzuri wa mama, wanaume wengi walipenda kuwa nae ili awe mke wao. Lakini kati ya wanaume hao wengi ni baba tu aliyebahatika kumuoa mama. Baba alijitahidi sana kuchakarika ili familia...
RIWAYA: MERISA - JINI MWITU
MTUNZI: ZAYNAB TALY
Zaynab Taly ni mwandishi chipukizi ambaye ndotozake ni kuja kuwa mwandishi mkubwa katika nchihii. Wapo waliokwisha msoma kazi zake na wapoambao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.