Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Umri ulimwambia kakua..usichana ukapiga nae story kumshawishi awe na mvulana..akawa nae..akautimiza ukamilifu wake kiakili..baba dokta mama dokta..ayesha sachin aliishi kikamilifu kwenye maisha...
6 Reactions
6 Replies
861 Views
Wimbo wa Yanga ulioimbwa na Harmonize umeushusha wimbo wa Simba na kuwa Number One trending kwenye youtube; hata hivyo Mondi hajakubali na hivyo amelipia post ya facebook (sponsored) ili...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimekua mara moja moja nikitazama hii TV, jambomoja nililogundua ni kwamba Naseeb hafanyi mambo ya kubahatisha akifanya kitu anafanya kweli. Wasafi TV kuanzia muonekano wa picha, vipindi vyao...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Hizi movie kuna nyingin zinatoka mwaka huu na nyingin tunazisubili mwakani James Bond Mulan
2 Reactions
17 Replies
2K Views
DJ Maarufu wa E-FM na mwenye manjonjo ya aina yake DJ Mamie, jana ametanganza rasmi amejiunga na Wasafi Media kupitia Instagram yake. Baada ya kupost, hiyo post imepata like nyingi na comment...
5 Reactions
45 Replies
5K Views
Wakuu habari ya majukumu. Mbali kufanya kazi ngumu za kutafuta kipato ila sio mbaya kuna mda unachangamsha mwili na akili kwa vitu vyepesi kupunguza machungu ya ugumu wa maisha, wengi wetu...
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Hizi ndo katuni zangu bora za muda wote nahisi Kama kuna mtu hajwahi kuziona ye atakuwa amekosa bahati?? Zipe maksi na ww au sema zako bora nyingine wale wazee wa animation[emoji23]
0 Reactions
3 Replies
2K Views
MWANDISHI: NYEMO CHILONGANI. SIMU: 0718 069 269 MAHALI: DAR ES SALAAM. MBUNIFU WA COVER: KINDO EMMANUEL MCHEZA FILAMU ZA NGONO 1. Kampuni ya kutengeneza filamu za ngono ya Digital Playground...
3 Reactions
30 Replies
19K Views
Habari wakuu. Hope mko poa mnaendeleza mapambano dhidi ya janga kuu la umaskini nami nikaona si haba kuwaletea kijistori kidogo tuserebuke nako kwenye moja na mbili. Stori inaanza kama ifuatavyo...
5 Reactions
11 Replies
16K Views
Wazee napata shida kuamini kama wafuasi wa Clous fm ni halali maana wako 5.6 milioni yaani kifupi ndo ukurasa wenye wafuasi wengi zaidi kwenye tasnia ya habari, Kichekesho sasa ndo page yenye...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
USINGOJE SIKU MIA 1. Mara utapo apishwa, Rais Tundu wa Lisu, Walaka wa kukumbushwa, na kupa pia na kisu, Siku mia ukipishwa, za kuondoa kukusu, Usingoje Siku Mia, yaondoe haya Lisu. 2.Watu...
2 Reactions
1 Replies
716 Views
Nitakuwa nakupatia update. Wasanii wote Tanzania kwa moyo wa upendo walitunga nyimbo kuhusu serikali ya CCM. Wapo katika kufanya mazoezi ya nyimbo zitakazotumika kwenye kampeni ya chama kikubwa...
3 Reactions
138 Replies
15K Views
STORY: SITAKI TENA MTUNZI: ANDREW CARLOS IMELETWA KWENU NA: BURE SERIES SEASON 1 SEHEMU YA 1 Nakumbuka Levina mimi nilikuwa na miaka 12,wazazi wangu walikuwa wakinipenda sana na walipenda...
2 Reactions
72 Replies
12K Views
Ni Rock, Alex, na Money. Wanaishi kwa kutumia wizi. Wwanavunja usiku na kuingia kwenye nyumba watayoona inafaa na kuchukua kila kinachowafaa, wanaishi hivo. Walipopata taarifa kutoka kwa mtu...
4 Reactions
23 Replies
3K Views
Alipoamua siku hiyo kuwa karibu na msichana anayehudumu katika klabu ya Tanga Raha, Jackson Malima ambaye pia alipachikwa jina la ‘Baba Mchungaji’ na wafanyakazi wenzake, hakujua kwamba hatua hiyo...
10 Reactions
66 Replies
12K Views
STORI ZA KUPIGA RAMLI! Mtunzi: Muddyb Mwanaharakati Mawasiliano: 0713538427 ANGALIZO: Atakayekwazika, naomba ani-inbox. I will have the post deleted immediately! Kingine si kama stori ndivyo hali...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Kimekuja na meli. Tuheshimiane! Asubuhi na mapema, hata hali-mseto haijatokea, simu mkononi kumpigia asiyempigia tangu kuzaliwa. Namba kaipata wapi, ngumu kusema kwa mtu mwenye nia na jambo...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Hakika collection hizi nimejikuta nimesahau shida zangu. Unaweka vitu vikali mnoo. Naomba kufahamu Lakini kuna wimbo wa Burna Boy umeucheza mida ya saa kumi na moja kamili naomba uurudie...
0 Reactions
3 Replies
777 Views
Wanasheria wa familia walipitisha tamko..maamuzi ikawa ni kugawa urithi.. ..Kwamba mzee Richard croft amepotea na ameshindwa kupatikana..mtoto wake wa kike akawa ni kati ya wataopata sehemu ya...
13 Reactions
5 Replies
2K Views
..Alternate Britain..mahali ilipopandwa mizizi ya jengo lenye watu wasomi..na wahusika wanaohitaji kazi ndani ya jumba hili elimu ndo kipaumbele cha kwanza.. ..Walipatikana watu nane...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom