Ukweli kuwa kila mtu hivi sasa akifanikiwa katika kidogo katika mziki anawaza kuanzisha lebal na studio mfn allykiba,diamond,barnaba,cristian bella,banana zolo n.k.
naomba kujadili au niulize je...
Guys kwema
Hivi kweli wataalamu na waandaaji wa muziki mziki wa Singeli uko kwenye kundi gani? As in Jazz,Rock,Pop,Hiphop,Reggae,Rhumba,tchatcha?
Maana ile speed ya BT na speed ya uimbaji...
Kuna huu wimbo " MATATIZO" japo si mtalaam wa nyimbo lakini naupa nafasi ya kuwa wimbo bora 2016.
1. ujumbe mzuri
2. Story ya wimbo imetulia.
3. Wahusika wamebeba vyema ujumbe wa wimbo ...
Jaman HiVi nimetazama vibaya au ni kwel kwenye video ya John legend love me nimeona watu Wa jinsia moja wameshikana na kulala as wapenz hii inamaanisha nn
*Looku Looku*[emoji102][emoji102]
NAOMBA UVAE MBAVU ZA SPEA
*_Mnyakyusa mmoja aliwaalika watu katika mazishi ya mama yake. Baada ya kushusha jeneza wakatia ndani ya kaburi viazi, mchele na kuku...
Nimekaa nimetafakari nikakumbuka wimbo wa Madee uitwao Hip Hop haiuzi, kiukweli ukitazama kwa kina utakuta ni kauli ya mtu aliekata tamaa na kitu anachokifanya na hii imefanya watu wengi wenye...
Thamani ya mwanamke ni mavazi
Kula vizuri kulala vizuri
Ndio siri ya kudumisha ndoa
Utaishi kwa raha amigo
Watoto wako wapeleke shule
Kwa manufaa yao ya badae
Elimu ndio zawadi muhimu...
Kwa wale wafuatiliaji wa muziki wa kikongo bolingo watakua wanamfahamu vizuri huyu nguli asiyechuja kila mwaka
Baada ya wanamuziki chipukiza wa kizazi kipya wa bolingo kuachia nyimbo zao kwa...
Msanii Young daresalama kaachia ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina FURAHA ngoma iko poa sana na official music video yake ni nzuri sana kafanya HANSCANA,video vixen kaonekana mrembo Tunda...
Naomba msaada wa kuweza kudownload movies pasipo kutumia utorrentz. Kwasasa naona hii utorrentz wameisitisha kwahiyo haifanyi kazi tena. kwahiyo naomba mwenye uelewa anisaidie nifanyeje
Dubai Fountain ni moja kati ya vivutio vikubwa vya kitalii vikubwa Dubai na ni moja kati ya water fountain kubwa ulimwenguni.
Dubai Fountain mara nyingi huchezwa nyimbo maarafu kama wa Whitney...
Wakuu,
Ni nyimbo gani zinabamba hadi sasa zinazofaa kukaa kwny top 10 chart ya mwezi Disemba? Pendekeza ili tuzifanyie rating.
Kuna hizi (not in order):
1) Zigo Remix - AY ft Diamond
2) Aje -...
Je, ni kwamba mmoja kati ya Kusaga na Ruge wanakaribia kuchukua uteuzi katika serikali ya JPM? Kwa hiyo wameamua kuacha bifu ili waonekane vijana wazuri wasiozuia vipaji vya watz kukua? Just...
Hizi zote mbili ni nyimbo bora kabisa kutoka kwa mwaka huu.Alipotoa nyimbo ya wanandoto ya kala Jeremiah wengi waliamini kuwa kwa Hiphop mwaka umefungwa na Kala ila ujio wa darassa uliipoteza...
Bonyeza hiyo link hapo chini naamini utakubaliana na mimi kuwa huu wimbo si size yetu bali upo level nyingine kabisa. Congrats my sister endelea kupiga kazi kamwe usibweteke. Next level!
Video...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.